Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,791
















Wapunguze maslahi yao na posho hela zitapatikana tuu



Hawajibu vilaza km nyieSasa watamjibu nn kwamba co ya mchina au?![]()
🙈🤐Hujaeleweka what is Bingu na Arthi ??????
Inaonyesha ni jinsi gani unaumizwa na hii barabara, maskiniHuwa mnaonesha only 5km za hiyo elongated flyover kwamba ionekane yote imeinuka au sio![]()






kule unyambani Kunyaland wanaita hizi "ngorofa"!!Wakuu hii nchi ni maslums everywhereView attachment 1864547View attachment 1864548View attachment 1864549
Google itakusaidia kaka., akili fupi..,So your bedsitrer if not a single room as I put it earlier then must be 3/4 room house right? Living/bedroom, toilet and kitchen according to you ama sio?










Watueee!!amkeni jamaa amekasitika..Wakuu Kenya ni Mavi, haya ndio ma apartments wanayaficha huwezi kuona wanayaweka humu, yn kuna picha zingine unaweza zani ni ma slums ya IndiaView attachment 1864543View attachment 1864544View attachment 1864545


Ukimaliza na wewe utuonyeshe watu wa kipato cha chini dar wanapatikana wapi tuje tulinganisheKumbe ndo mana Dar inaongoza kwa real estate value, madude yao ni very cheap aloo, yn building moja Tz unapata karibu majengo 50 kenya, hivyo hivyo hata kwenye real estate hesabu ndo hiyo hiyo, ona ma apartments hayaView attachment 1864559View attachment 1864560View attachment 1864562View attachment 1864563


Ghetto eehh, maamaeee kumbe unajua residentials za Nairobi zinakaa ghetto ndo mana hamtaki battle ya residential ya maisha ya kawaidaWatueee!!amkeni jamaa amekasitika..
Post kabisa pucha za ghettos
Hzi ndio nyumba za watu wa kipato cha chini









Post violence photos..asante sana kw picha za 2007Wakuu haya ma apartments ya kenya ni balaa na ndiyo maana huwa hawaleti picha za karibu, Watz tumshukuru Mungu kutupa nchi kama hii ambayo mtu unamiliki ardhi, wenzetu wanarundikwa kwenye jengo moja maelfu ya watu, yn kumbe Kenya ni bora India onaaaView attachment 1864535View attachment 1864536View attachment 1864537View attachment 1864538
Taja unataka kushindana na mtaa gani kw residential tushindanishe saiGhetto eehh, maamaeee kumbe unajua residentials za Nairobi zinakaa ghetto ndo mana hamtaki battle ya residential ya maisha ya kawaida![]()


Maajabu🙈Me dead I can't take it⚰️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sorry to interrupt your party..
This Kenya Maritime Academy Swimming pool formerly Bandari College... tafadhali muache kuiba picha wabongo