Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakuu haya ma apartments ya kenya ni balaa na ndiyo maana huwa hawaleti picha za karibu, Watz tumshukuru Mungu kutupa nchi kama hii ambayo mtu unamiliki ardhi, wenzetu wanarundikwa kwenye jengo moja maelfu ya watu, yn kumbe Kenya ni bora India onaaa
Screenshot_20210723-133746.jpg
Screenshot_20210723-133722.jpg
Screenshot_20210723-133816.jpg
Screenshot_20210723-133833.jpg
 
Wakuu Kenya ni Mavi, haya ndio ma apartments wanayaficha huwezi kuona wanayaweka humu, yn kuna picha zingine unaweza zani ni ma slums ya India
Screenshot_20210723-133955.jpg
Screenshot_20210723-134011.jpg
Screenshot_20210723-134027.jpg
 
So your bedsitrer if not a single room as I put it earlier then must be 3/4 room house right? Living/bedroom, toilet and kitchen according to you ama sio?
Google itakusaidia kaka., akili fupi..,
 
Kumbe ndo mana Dar inaongoza kwa real estate value, madude yao ni very cheap aloo, yn building moja Tz unapata karibu majengo 50 kenya, hivyo hivyo hata kwenye real estate hesabu ndo hiyo hiyo, ona ma apartments haya
Screenshot_20210723-142733.jpg
Screenshot_20210723-142752.jpg
Screenshot_20210723-142846.jpg
Screenshot_20210723-142902.jpg
 
Watueee!!amkeni jamaa amekasitika..
Post kabisa pucha za ghettos
Hzi ndio nyumba za watu wa kipato cha chini
Ghetto eehh, maamaeee kumbe unajua residentials za Nairobi zinakaa ghetto ndo mana hamtaki battle ya residential ya maisha ya kawaida
 
Ghetto eehh, maamaeee kumbe unajua residentials za Nairobi zinakaa ghetto ndo mana hamtaki battle ya residential ya maisha ya kawaida
Taja unataka kushindana na mtaa gani kw residential tushindanishe sai
Nishamkimbiza
 
Back
Top Bottom