Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila Kenya bhana 😂😂😂, heb chek kwa mfano 👇
2853336_JamiiForums421487902.jpg

Vs
Screenshot_20210714-013107_1.jpg
Screenshot_20210714-012854_1.jpg
Screenshot_20210714-012911_2.jpg
mbingu na Ardhi 😂😂😂
 
Nchi ya kwanza EA kuwa na cable stayed bridge

Nchi ya kwanza EA kuwa na BRT system

Nchi ya kwanza EA kuwa na electrified SGR

Nchi ya kwanza EA kuwa na 3tier interchange

Nchi ya kwanza EA kuwa na bwawa kubwa na la kisasa la umeme

Nchi ya kwanza EA kuwa na modern stadium

Nchi ya kwanza EA kuwa na modern Airpot

Inaumaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nchi ya kwanza Africa kuwa na bomba la Mafuta

Bomba la gas

Bus station za kisiasa
 
Ndio mji wenye towers nyingi km upupu EA

Ndio mji wenye millionaires wengi EA

Ndio mji wenye billionaire pekee EA

Ndio mji mkubwa na maarufu zaidi EA

Ndio mji msafi zaidi EA

Ndio mji wenye infrastructures za kisasa zaidi EA, kwanini usiumie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mji disorganized una BRT ila ulio organized hauna uliona wapi haya maajabu ya Dunia.
 
hakuna kitu wamewahi fanya kikapendeza[emoji16][emoji16][emoji16].

lazima pafananie na machimbo madogo ya dhahabu.
New terminology "machimbo madogo ya dhahabu"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Small gold mine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-1862755292.jpg
 
Back
Top Bottom