Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyu lazima ametoka kwa huu uzi, hajui twitter watu wanaakili kubwa kumliko
Tena hakujibiwa sasawamemdharau sana kw sababu alidhihirisha km watz hawana akili..
Jamaa umeandikiwa ppp alafu unaenda ku comment ujinga huu si ni sawa na kuipindua nchi..CCM kweli janga la taifa

Kaenda kutaja bwawa sijui Air tanzania hko akafikiria kila mtu ni mjinga kule
 
Hii barabara imekatiza 27km sehemu tofauti tofauti jijini nairobi lkn aerial view bado ipo vyema..sasa ingelikua kule kwao, yani kila baada ya kilomita chache lazima ingelikutana na uswazi tena bila hiyari yao
Ndio
images (43).jpeg
images (42).jpeg
images (31).jpeg
 
ukweli mchungu, hata mwinyi rais wa zanzibar anamshinda.. afu majaliwa baada ya ile ishu ya mabus ya brt ni kama amepunguza ukali.. ni kama vile aliambiwa asimuoutshine boss
Laiti kama wapinzani wangekuwa wanajielewa wangechukua nchi mapema sana 2025, ila sioni dalili maana hawajui waanze na kipi,
2025 ni mbali sana Huyu mama anatulostisha sana.
Mzee baba ungekuwepo leo hata uwanja wa Dodoma ungeshaanza kujengwa.
 
ukweli mchungu, hata mwinyi rais wa zanzibar anamshinda.. afu majaliwa baada ya ile ishu ya mabus ya brt ni kama amepunguza ukali.. ni kama vile aliambiwa asimuoutshine boss
Tulisema mda mrefu, advantage tuliyonayo ni kwamba hii nchi ni kama inayolindwa na nguvu flani za giza hata pale inapokosa kiongozi huwa inasonga japo kiugumu ugumu, but hapa tumepigwa.
 
Hii barabara imekatiza 27km sehemu tofauti tofauti jijini nairobi lkn aerial view bado ipo vyema..sasa ingelikua kule kwao, yani kila baada ya kilomita chache lazima ingelikutana na uswazi tena bila hiyari yao
Huwa mnaonesha only 5km za hiyo elongated flyover kwamba ionekane yote imeinuka au sio
 
Tulisema mda mrefu, advantage tuliyonayo ni kwamba hii nchi ni kama inayolindwa na nguvu flani za giza hata pale inapokosa kiongozi huwa inasonga japo kiugumu ugumu, but hapa tumepigwa.
Acheni kujadili vitu vya kipuuzi kwenye hii thread.Zipo forum za Tanzania wekeni huko
 
Tena hakujibiwa sasawamemdharau sana kw sababu alidhihirisha km watz hawana akili..
Jamaa umeandikiwa ppp alafu unaenda ku comment ujinga huu si ni sawa na kuipindua nchi..CCM kweli janga la taifa

Kaenda kutaja bwawa sijui Air tanzania hko akafikiria kila mtu ni mjinga kule
Sasa watamjibu nn kwamba co ya mchina au?
 
Laiti kama wapinzani wangekuwa wanajielewa wangechukua nchi mapema sana 2025, ila sioni dalili maana hawajui waanze na kipi,
2025 ni mbali sana Huyu mama anatulostisha sana.
Mzee baba ungekuwepo leo hata uwanja wa Dodoma ungeshaanza kujengwa.
Tatizo upinzani Tz ni mavi, wamejaa malaya tupu (in Nyerere voice) ukimpa 200 ashasaliti, tuvumilie tu amalizie gift yake aende.
 
Apo kuna nn cha kucelebrate kama sio wazimu?

Hawa ni Kila mtu na kwake endeleeni kupanga na kukaa kwenye flats kama foreigners View attachment 1864151View attachment 1864152
less than 15%.., wengine wamefinyana kwa ushuzi, where there are no meaningful roads, ni njia panya kwa wingi, magari hayawezi kupenyeza ndani ya mitaa mingi, ni vichochoro kwa wingi bro, Dar tunaijua vizuri., yaani the normal standard lifestyle yake.,
 
Back
Top Bottom