Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakunya mnavichaka sana. Jengeni mji wenu
Hehe those are the green belt wangari mathari was awarded for now you want us to destroy out beautiful environment dont you know it's a plus when you have greenery in a town how behind are you
 
Kusoma pia hujui?😂😂🤣😂

Direct from World Bank 🤣😂🤣😂👇👇👇


World bank official page 2021😂😂👇👇
Tafuta mbinu nyingine ya kuondoa stress za bullet train
53914F7E-FAA7-4107-BF0F-775728426148.jpeg


 
atokee mtu humu na pua yake aseme kenya wana maisha mazuri!

hizo video ni aibu tupu.. na nina uhakika mwenye mapenzi mema na kenya atakuwa anaumia nchi yake kuchafuliwa
Mm nawajua hawa nimetembe almost kenya nzima bro tushkuru sana hii nchi yani wakenya wanamaisha magumu kuliko mazimgaombo 🤣🤣🤣 yani waone hapa wakijifanya wagumu kuelewa
 
vijighorofa Nairobi ikona cluster of skyscrapers. Concentration kama hii zimejaa kwa mitaa kama zote Nairobi.
Weka tuone maneno ya nn, mnadhani tulifika kimchezo mchezo hapo? Tumepambana, nanyie mpambane mpunguze msitu
 
angalieni maisha yao... kila mtu mwizi




aibu kubwa sana hii.. afu mchina ndo alikuwa anawategeshea

🤣🤣🤣🤣 hiyo ni kali sana hiyo nayo siwezi danganya mahali walikua ndo pabaya hiyo sehemu ya downtown watu Huwa wanaiogopa kwa snachersz si town yote that's why wal8enda huko kushoot video hadi walinunua simu fake for that purpose
 
Back
Top Bottom