tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Miti mingi na nyumba moja ya maana
Miti mingi na nyumba moja ya maana
Kwani Adis Ababa Ni chenga kiasi hiki
How many towers of 100M and above can you count from that picture? I can count 10. Dar ziko tatu😂😂😂One shot chaliii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1863523
Sasa unapingana na kitu ulichopost mwenyewe?
Hom of concrete jungle [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]How many towers of 100M and above can you count from that picture? I can count 10. Dar ziko tatu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa jamaa comedian kweli ukikutana nae mjini amevaa suti utafikiri ni mtu wa maana sana sasa ngoja jioni uone anapoelekea kupumzika kiberaaaa. Hivyo hivyo hufanya kwenye data zao katika ngazi zote.
Naona leo umeleta zile kilomita tatu za posta kariakoo[emoji1787][emoji1787]Ile siku Nairobi itapata concentration kama hii mnitag [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1863555
Dar co ya kuchezea hata kidogo, national park pelekea Nairobi
[e![]()
vijighorofa 🤣 🤣 🤣 Nairobi ikona cluster of skyscrapers. Concentration kama hii zimejaa kwa mitaa kama zote Nairobi.Ile siku Nairobi itapata concentration kama hii mnitag [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1863555
Kusoma pia hujui?😂😂🤣😂
Direct from World Bank 🤣😂🤣😂👇👇👇
Least developed countries: UN classification | Data
Least developed countries: UN classification from The World Bank: Datagoogleweblight.com
Nakwambia siku utapata 2020 or 2021 source from wb kua tanzania imerudi LDC nitag nifunge acc 😂😂😂😂😂😂Kusoma pia hujui?😂😂🤣😂
Direct from World Bank 🤣😂🤣😂👇👇👇
Least developed countries: UN classification | Data
Least developed countries: UN classification from The World Bank: Datagoogleweblight.com
With that forest 😂😂😂😂
angalieni maisha yao... kila mtu mwizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
aibu kubwa sana hii.. afu mchina ndo alikuwa anawategeshea