Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sawa LDC yenye train ya umeme wakati LMIC haina, LDC inayofadhili miradi yake kwa pesa za ndani wakati LMIC hawawezi. Mwenye akili haambiwi tazama.
Miradi gani mumefinace na pesa yenu Kama ya kufinance choo ndio hamna?😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]hii mada uliikimbia mwenyewe leo umeianzisha ili tusiongelee mambo ya bullet train
Kuna jamaa wakulialia anasema ziko 9800 namwambia tarura wamekamilisha 2250 hataki...Sasa hua anabisha ili nn?and counting sahv hatuzungumzii tena 12k ni zaidi
 
Kama kawaida picha moja Nairobi chalii, naona CBD, naona upper hill, naona west alafu mnataka kushindana na Dar [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dar iko na nini ya kushindana nao ?😂😂😂👇👇👇


Nairobi's wealth =$54B
Dar is slum wealth = $20B.
 
Dar iko na nini ya kushindana nao ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]


Nairobi's wealth =$54B
Dar is slum wealth = $20B.
Sio 25?mzee kila kitu chako feki feki tu
 
Kuna jamaa wakulialia anasema ziko 9800 namwambia tarura wamekamilisha 2250 hataki...Sasa hua anabisha ili nn?and counting sahv hatuzungumzii tena 12k ni zaidi
Tanzania Bureau of Statistics and TANROADS sio wajinga to put your total paved roads at 9,000km😂😂😂
 
A city of Matatu and a City of Tuk tuk [emoji41] [emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
JamiiForums-1347078245.jpg
 
Back
Top Bottom