Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi





E6bdP8cXoAIP13U
 
Nilikuambia urudi shule wewe, unajua maana ya decoder kweli?😂😂😂 Dish and decoder go together cause decoder haiezifanya kazi bila dish na pia mtu haezitumia dish bila decoder. Rudi shule kijana,😂😂
Mm au wewe kuna watu wana antena na wanapata channel kuna watu wanatumia decoder za arabsat fal ww 🤣🤣 mambo kama hayo mutajifunzia wapi pimbi wewe
 
Those pictures haitafanya Tanzania ikuwe mbele ya Uganda in infrastructure 😂😂😂, data ya 2020 ndio hiyo👇👇👇


View attachment 1860622
Sinilisema source AFDb 2016 🤣🤣🤣🤣 yani investment ya infastructure inayofanyika tanzania nyinyi itawachukua 50 yrs from now mlichobakia wapeni wachina barabara wajenge wachukue income zao kwa miaka 30 basi hakuna kitu mutajenga kwa pesa yenu kwasababu uchumi uko over 80% debt to GDP ratio 🤣🤣🤣 munakula mpaka pesa za wanajeshi wanenda pigana vita somali
 
tu,.. nabambika sana sana vile watz wanatumia kenya kama their benchmark kwa kila mradi yao. they like comparing themselves somuch with kenya. whilst wakenya wengine hata hawajui tz iko wapi. sisi sawa na SA ni ligi soo
 
Miradi tunaweka hapa Kila siku. Hakuna venye Tanzania inaezashindana na Kenya in infrastructure when;
1. Electricity connectivity in Kenya is 7.5M households against Tanzanian 2.7M.
2. Paved roads in Kenya is 21,000km against Tanzanian 9,000km.
3. Over 50 interchanges in Kenya against 2 interchanges in tanzania.
4. Over 50 flyovers in Kenya against 1 flyover in Tanzania.
5. 85% electricity access in Kenya against 40% in Tanzania.
Data mama ngina 😂😂😂😂bado unaongelea paved roads hujakoma tu bado unaongelea electricity hujakoma tu 🤣🤣
 
Bro acha kutumia uongo uongo mzee hautakusaidia kitu 😂😂😂.. kwanini msikubali ukweli..? Naona umetaja interchanges 50 😂😂 zipo wapi sasa mbona hatuzioni.? taja moja moja basi, suala la umeme mtueleze sasa ndani ya miaka mitano infrastructure za umeme nani amewekeza zaidi Kati ya nyinyi na sisi.? Eti 50 flyover 😂😂😂. Kwenye barabara uko kaa mbali sana usiguse kabisa since tz ni kubwa geographically kuliko kenya .. eti electricity connectivity ni 2.7 households Halafu mda huo huo unakubaliana na data za watanzania wenye dikoda ni zaidi ya 3m people 😂😂😂 we ni mpuuzi mmoja
Huyo mumzoee anamachungu sana 😂😂😂
 
Weka vitu current sio vitu vya 5 years ago. Ndio maana wakenya wengi bado wana mentality ya kizamani sana kuhusu TZ hawajui kuwa Tz has changed alot.
Haswaa yani wao hudhani hii ni ile tz ya 90s 😂😂😂😂
 
ww ndo jinga zaidi. hebu tuoneshe chochote cha ajabu tz. nje ya darslum. hakuna! kwingine kote ni vichakani na vijiji vya ujamaa
Cable stayed bridge over lake Victoria iko Mwanza nyie hata Moja hamna huo ni mfano mdogo tuu
 
Back
Top Bottom