ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Cables and antenas na wale wa dish umewaeka wapi?? 😆😆😆😆😆Don't forget some households have more than 2 decoders. So going by my calculations, less than 20M Tanzanians have access to it.
Cables and antenas na wale wa dish umewaeka wapi?? 😆😆😆😆😆Don't forget some households have more than 2 decoders. So going by my calculations, less than 20M Tanzanians have access to it.
Treni inapita juu ya nn?? So railway sio infastructure 🤣🤣🤣🤣🤣Train is not an infrastructure, next time usijiaibishe mbele ya watu🤣😂
😂😂😂😂😂😂Train is not an infrastructure, next time usijiaibishe mbele ya watu🤣😂
Nilikuambia urudi shule wewe, unajua maana ya decoder kweli?😂😂😂 Dish and decoder go together cause decoder haiezifanya kazi bila dish na pia mtu haezitumia dish bila decoder. Rudi shule kijana,😂😂Cables and antenas na wale wa dish umewaeka wapi?? 😆😆😆😆😆
Those pictures haitafanya Tanzania ikuwe mbele ya Uganda in infrastructure 😂😂😂, data ya 2020 ndio hiyo👇👇👇
Hawa si madereva wa Subaru😎Wazee wa Subaru kenya kazi ni kukunywa pombe wamewaachia wazungu waki participate 😂😂
eti Coco reborn MK254 huko kenya maiti nazo zinaesabiwaga kwe sensa?Will that make Tanzania more developed than Uganda?![]()
Watakubalije mtoto mdogo awazidi maendeleo .? Lazima wamchukie tu .. yani anamiliki the one and only 2021 cullinan black bedge RR in EA unafkiri watampenda.? 😂😂😂 Ila mondy konyo mchizi ni mtu kutoka EA pekee mwenye hiyo gariChibu wengi wanachukia sema basi Tu🙂View attachment 1860574View attachment 1860575View attachment 1860576
Takwimu za kujitekenya na kucheka mwenyewe 👇😂😂 dahWill that make Tanzania more developed than Uganda?😂😂😂
Any way, tufanye hiv heb taja miradi ya maendeleo hapo kwenu kenya iliyofanyika ndani ya miaka mitano na gharama zake na sisi tutaje miradi tulioifanya Ili tuone nani mkali wao, hizo takwimu za kupika usituletee hapa twende groundThose pictures haitafanya Tanzania ikuwe mbele ya Uganda in infrastructure 😂😂😂, data ya 2020 ndio hiyo👇👇👇
View attachment 1860622
Namheshimu Diamond kama mwanamziki na mwanabiashara mashuhuri ila kusema ni yeye pekee anayemiliki hilo gari ni upuzi wa kupindukia.Watakubalije mtoto mdogo awazidi maendeleo .? Lazima wamchukie tu .. yani anamiliki the one and only 2021 cullinan black bedge RR in EA unafkiri watampenda.? 😂😂😂 Ila mondy konyo mchizi ni mtu kutoka EA pekee mwenye hiyo gari
Nani mwengine ako nayo hapa EA.? 2021 cullinan black bedge RRNamheshimu Diamond kama mwanamziki na mwanabiashara mashuhuri ila kusema ni yeye pekee anayemiliki hilo gari ni upuzi wa kupindukia.
Sema wanamkubali shingo upande 😀😀😀Jamaa anafanya vitu amazing Sana 👏👏👏big up kwakeWatakubalije mtoto mdogo awazidi maendeleo .? Lazima wamchukie tu .. yani anamiliki the one and only 2021 cullinan black bedge RR in EA unafkiri watampenda.? 😂😂😂 Ila mondy konyo mchizi ni mtu kutoka EA pekee mwenye hiyo gari
I don't engage people from least developed countries on matters infrastructure.Takwimu za kujitekenya na kucheka mwenyewe 👇😂😂 dah
Any way, tufanye hiv heb taja miradi ya maendeleo hapo kwenu kenya iliyofanyika ndani ya miaka mitano na gharama zake na sisi tutaje miradi tulioifanya Ili tuone nani mkali wao, hizo takwimu za kupika usituletee hapa twende ground
Mzee hizo ni takwimu tu zimeandikwa na Mimi naweza nikaandika zakwangu pia .. twende ground unaogopa nini.? TWENDE GROUND tupimishane misuliI don't engage people from least developed countries on matters infrastructure.
View attachment 1860682
Kama tabia ndo hii👇👇👇hata maiti zinaesabiwa🙂eti Coco reborn MK254 huko kenya maiti nazo zinaesabiwaga kwe sensa?
Ebu andika hiyo yako tuone?😂😂😂👇👇👇Mzee hizo ni takwimu tu zimeandikwa na Mimi naweza nikaandika zakwangu pia .. twende ground unaogopa nini.? TWENDE GROUND tupimishane misuli