passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,527
- 12,507
Ndo inaletwa kutoka koreaHii train iko parked eneo gani TZ tuone?
Ndo inaletwa kutoka koreaHii train iko parked eneo gani TZ tuone?
This is only one in East afrika.mtakuja kutalii hamna shidaHii train iko parked eneo gani TZ tuone?
Rudisha hiyo picha penye uiiba, that's not a Tanzanian train.Angalia hapo alafu ongea tenaView attachment 1857313
Umeiona mkuu?Ndo inaletwa kutoka korea
Ngoja ifike. Don't count your eggs before they hatch. Hata Ubungo tunajua vile mulibadilishiwa design. Tulia ifike tuone.This is only one in East afrika.mtakuja kutalii hamna shida
Bado hamna trains nyamaza😂😂This is only one in East afrika.mtakuja kutalii hamna shida
Unaenda mbali, waambie wakuonyeshe render ya Dodoma station na what's being built 😂😂Umeiona mkuu?
Ngoja ifike. Don't count your eggs before they hatch. Hata Ubungo tunajua vile mulibadilishiwa design. Tulia ifike tuone.
I know that you are stupid but don't bring me to your level. You can say all you want but posta hadi Kariakoo can't be 3 kms. Hilo hata wewe unajua sema tu unapenda ubishi. Upperhill na cbd zimetanganishwa by two very huge parks (Central Park and Uhuru Park) and a golf course. Ni nini kinatenganisha kariakoo na posta? Ujinga peleka TandaleHebu tizama hii picha kwa umakini sana how far is CBd to upper hill🤣🤣 au na hii inatahitaji ramli alaf angalia hata density infact hakuna sijui tunashindana nnView attachment 1855320
It is modal of Tanzania train ina rangi ya TRC huoniRudisha hiyo picha penye uiiba, that's not a Tanzanian train.
Hii mkataba ushasainiwa juziUmeiona mkuu?
Ngoja ifike. Don't count your eggs before they hatch. Hata Ubungo tunajua vile mulibadilishiwa design. Tulia ifike tuone.
So what's your point exactly kijana wa Tandale? That Nairobi shouldn't have boundaries ama? Which city in the world doesn't have city boundaries? Mtanganyika ni mtanganyika tuWe jamaa ni mpumbavu kweli, kwahiyo kutoka kwenye hiki kijiji chenu cha naipori mpaka next village ni hatua ngapi kama itakua ndio hivyo?
View attachment 1856138
So what's your point exactly kijana wa Tandale? That Nairobi shouldn't have boundaries ama? Which city in the world doesn't have city boundaries? Mtanganyika ni mtanganyika tuWe jamaa ni mpumbavu kweli, kwahiyo kutoka kwenye hiki kijiji chenu cha naipori mpaka next village ni hatua ngapi kama itakua ndio hivyo?
View attachment 1856138
Hapa umeonyesha hisia za kike kabisa walaiIkiwa kutoka Mombasa mpk Nairobi tu garimoshi linachukua siku nzima kufika![]()
We gari za kuhimili mwendo huo utazipandia wapiHivi nyie speed ya 160km/hr mnaichukuliaje? Hebu mwenye gari na aliyewahi kutembea hiyo speed constantly for at least 3hrs atuambie aliteambea lini na kwenye barabara gn.


Mada ya kariakoo wameikimbia baada ya kuja kuwaumbuaSo what's your point exactly kijana wa Tandale? That Nairobi shouldn't have boundaries ama? Which city in the world doesn't have city boundaries? Mtanganyika ni mtanganyika tu


Train ya diesel inakuaje superior kuliko ya umeme, yani hamuoni mumepigwa mzeeAcha matusi train ya diasel ni Sawa na treni ya umeme na mabehewa ya kisasa?
Superior kwenye niniTrain ya diesel inakuaje superior kuliko ya umeme, yani hamuoni mumepigwa mzee
Yani mtoto wa mjomba na shangazi tuHiyo yenu sio bullet train, the only bullet train in Africa Ni ya Morocco which travels at a speed of 320km/h. Hiyo ya Tz Ni same tu na ya Kenya.


Kila kitu mzeeSuperior kwenye nini
Acha kuropokaKila kitu mzee
Kwanza mabehewa yetu ni double decker za kisasa ya kwetu ina spidi kuliko nyie acha kuropoka weka evidence.Kila kitu mzee