Hata mimi kusema ukweli ningekuwa Mkenya ningechanganyikiwa kidogo!!!By the way we are brothers ngoja tupeane challenge za ukweli ili tusogee!!! Wakenya wengi huwa wana cross border kuja Bongo either kikazi, biashara au mapumziko and they have never regret!!!.Bongo ni tamu aisee kwanza ni safi, very calm and peaceful watu wake wako poa sana watoto wazuri wazuri na kuna bata za ukweli tofauti tofauti sema unataka nini hahahaNimeona Mapicha Mingi za Tanzania Bullet Train🙈 nmekabaki nmechanganikiwa
wish tu hawa mafathela watz wangefahamu jaba kwetu ni indigenous, yani homegrown. kwao ni mihadarati etilets confuse them..
hawa waTz wataji nauwo, lazima watamonchoka.. wakenyareé please hebu tujibanje na mbogi genje. staki support jamo ama mbwekze.. kibao tu ndo manaake. hadi wanauwo kanairo ni fire💥 ya kuotea furthest!..
Utakataa ila ukweli utabaki palepale. Posts na Kariakoo zinetenganishwa tu na barabara. Side moja ni kariakoo, the other side ni posta. Italia hata macjozi ya damu ila huo ndo ukweliWw ni pumbu tena pumbu ya kenge 🤣🤣 aliekwambia ni bara bara moja nani?? Ww tatizo unajifanya mjuaji sana wakat u know nothing, ukitaka kujua uliza ufundishwe karikoo na CbD ni vitu viwili tofaut 😄😄
Magu alishasema Dar ni ilala tu, ichoboy anatoa deki nje out of ignorance.😂😂😂Utakataa ila ukweli utabaki palepale. Posts na Kariakoo zinetenganishwa tu na barabara. Side moja ni kariakoo, the other side ni posta. Italia hata macjozi ya damu ila huo ndo ukweli
Am sure hata watanzania wenzako huwa wanakushangaa. Wacha kulazimisha watu fikra zako na ujinga. Hii hapa chini ni picha ya Posta na Kariakoo. Unaona hiyo barabara katikati upana wake inatosha kilometers tatu? Wewe ni mjinga sana kijana😂😂😂👇👇👇👇View attachment 1855097
Ndio ni fense ya wazi alaf kuna BRT wameshaanza kuweka infastructure zao pembeni mwa jengo pale 🔥🔥🔥very beautiful, hope huku barabaran wanaweka fence za wazi kama za pale ubungo interchange
Kutoka CBd kwenda ngara ni 2.4km
Kutoka CBD kwenda kariakoo ni 3.3km
Kuyoka CbD kwenda upperhill ni 4km
Kutoka CBd kwenda wetsland ni 3km
Haya niambie wewe which is which 🤣🤣🤣
Tunashindana nn mm na wewe hapa
Rudi hapa kwanza 😂😂😂👆👆👆Utakataa ila ukweli utabaki palepale. Posts na Kariakoo zinetenganishwa tu na barabara. Side moja ni kariakoo, the other side ni posta. Italia hata macjozi ya damu ila huo ndo ukweli
Alichofanya hayati ni kusplit baada ya mapato ya munispaa kuchezewa thats allMagu alishasema Dar ni ilala tu, ichoboy anatoa deki nje out of ignorance.😂😂😂
Am sure hata watanzania wenzako huwa wanakushangaa. Wacha kulazimisha watu fikra zako na ujinga. Hii hapa chini ni picha ya Posta na Kariakoo. Unaona hiyo barabara katikati upana wake inatosha kilometers tatu? Wewe ni mjinga sana kijana
View attachment 1855295
2018 news and now 2021 jamani 🤣🤣🤣🤣sisemi kituView attachment 1855305
Hebu tizama hii picha kwa umakini sana how far is CBd to upper hill🤣🤣 au na hii inatahitaji ramli alaf angalia hata density infact hakuna sijui tunashindana nnAm sure hata watanzania wenzako huwa wanakushangaa. Wacha kulazimisha watu fikra zako na ujinga. Hii hapa chini ni picha ya Posta na Kariakoo. Unaona hiyo barabara katikati upana wake inatosha kilometers tatu? Wewe ni mjinga sana kijana
View attachment 1855295
Kama sisi Ndio Maskini na je Nyie🙈Na Bado utapelekwa hospitality ya.vichaa kabisa kila siku nakumbia sisi tunawaangalia zaidi walioendelea sio nyie masikini mpaka mna njaa.
Iyo kitu imesubiriwa Sana🙈Yetu bado inachapa rutiSubiri utafika ule muda uharo na mkojo vitatoka wakati mmoja 😅😅😅😅
Mimi Napenda inchi Zote za Afrika Lakini hapo kwa madada wacha nibaki Na Akothee wanajua Kutafuta pesa🤑😋Hata mimi kusema ukweli ningekuwa Mkenya ningechanganyikiwa kidogo!!!By the way we are brothers ngoja tupeane challenge za ukweli ili tusogee!!! Wakenya wengi huwa wana cross border kuja Bongo either kikazi, biashara au mapumziko and they have never regret!!!.Bongo ni tamu aisee kwanza ni safi, very calm and peaceful watu wake wako poa sana watoto wazuri wazuri na kuna bata za ukweli tofauti tofauti sema unataka nini hahaha