komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Tuonyeshe ya kigomaKwani muda wote Narok walikuwa hawana Hospital Kama hiyo? yaani hii ni aibu.
Tuonyeshe ya kigomaKwani muda wote Narok walikuwa hawana Hospital Kama hiyo? yaani hii ni aibu.
Nicxie hawa majamaa wasikuchanganye kabisa, mnazi mmoja ni km vile utoke bondeni/marikiti ukielekea posta mombasa..Mnaongea ni kama hizi picha za Dar tumeanza kuziona hapa leo for the first time.
View attachment 1855614View attachment 1855612View attachment 1855613
Eti kutoka hapo posta hadi Kariakoo kilaza anasema ni km tatu. Halafu anataka tumuamini!!
Tupe boundary ya mnazi mmoja na cbd mzee, nataka nikupige kichapo cha mwakaNot 3km ni 3.3km don't forget that buda.
Wale wamanga hatari nakwambiaUuuwiiih!!! Tumewachapa 'BABA YAO' akiwa anaangalia live, Duh!Congrats team #KenyaBasketWomen... Kibarua ni hapo fainali na wamanga wa Misri!
View attachment 1856447
View attachment 1856448
View attachment 1856449
View attachment 1856450
View attachment 1856451
Sasa hapo kuna tofauti na hiki nilichokiandika, msimdanganye jamaa yetu bana..Acha ubishi. Ukitoka Posta kabla ya kufika Kariakoo unapita eneo linaitwa Kisutu,ukipita Kisutu unaingia Mnazi Mmoja baada ya Mnazi Mmoja ndio unaingia Kariakoo.
Na umbali wa Posta na Kariakoo inategemea unaenda Kariakoo ipi. Kuna Kariakoo karibu na Ilala na kuna Kariakoo karibu na Jangwani.
Nicxie hawa majamaa wasikuchanganye kabisa, mnazi mmoja ni km vile utoke bondeni/marikiti ukielekea posta mombasa..
Yani hakuna boundary yyte...wasikuvuruge kabisa hapo ni barabarani mzee na kuna kituo pale na hospitali pale
Pole kwa maumivu.I've never seen more delusional people than Tanzanians on this forum - especially this thread.
Niambie wewe ukitoka posta kabla ya kuingia kkoo unafika wapi kwanza.Tupe boundary ya mnazi mmoja na cbd mzee, nataka nikupige kichapo cha mwaka
Kwahiyo google inadanganyaNicxie kariakoo to posta ukifuata main road haipiti kilomita mbili lkn ukikatiza mwnywe ni less than 2km wasikudanganye kabisa yani





Ukitumia barabara ganiNiambie wewe ukitoka posta kabla ya kuingia kkoo unafika wapi kwanza.
Main road ipi ebu tufundishe cc wageniNicxie kariakoo to posta ukifuata main road haipiti kilomita mbili lkn ukikatiza mwnywe ni less than 2km wasikudanganye kabisa yani





Kuhusu sgr tumewaua kabisa halina mjadala ndio maana kimmmmmmya.Hawaitaki hii mada mkuu ila cc tuwapige tu hakuna jinsi![]()
Wametuma mtu aje kuanzisha mada ya posta to kkooKuhusu sgr tumewaua kabisa halina mjadala ndio maana kimmmmmmya.









Google haidanganyi mzeeKwahiyo google inadanganya![]()


Nipe boundary ya mnazi mmoja na posta nikulipeNiambie wewe ukitoka posta kabla ya kuingia kkoo unafika wapi kwanza.

Ashindwe na alegee kama kiporo cha mlendaWametuma mtu aje kuanzisha mada ya posta to kkoo![]()
Haya weka hapa from kkoo to posta ni how many km mbn unakwepaGoogle haidanganyi mzee
Kariakoo to posta by mainroad ndio niparefu kw sababu barabara haikwenda straight..
Nyie mtawadanganya wengine lkn sio mm mzeeView attachment 1857096View attachment 1857097







Boundary ni towers, huwezi fika posta ukitokea kkoo lazima ukatize maeneo mengine mfano mnazi na kisutu hutaki auNipe boundary ya mnazi mmoja na posta nikulipe![]()