Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nilitaka nishangae hapa lipite bichwa la ng'ombe hapa!!!
image_downloader_1626507777958.jpg
 
Umetumwa kuja kuharibu mada ya SGR, ila ngj nikujibu, ni kwamba City mall cyo mlimani city, hiyo mlimani city ni mbali kabisa na posta
Ni wapi umeona milimani city? SGR yenu ikianza kutumika leta mjadala. Hatuwezi kujadili kitu bado iko under construction ambayo haijasafirisha kitu, hata mende bado. Productivity ndo muhimu, hata Ethiopia wakona electric lakini our revenue numbers ziko juu zaidi compared to their fancy electric railway. Yenu ikianza kazi mtajoin mjadala tupime numbers.
 
Ni wapi umeona milimani city? SGR yenu ikianza kutumika leta mjadala. Hatuwezi kujadili kitu bado iko under construction ambayo haijasafirisha kitu, hata mende bado. Productivity ndo muhimu, hata Ethiopia wakona electric lakini our revenue numbers ziko juu zaidi compared to their fancy electric railway. Yenu ikianza kazi mtajoin mjadala tupime numbers.
I can feel ur pain, pole
 
Ni wapi umeona milimani city? SGR yenu ikianza kutumika leta mjadala. Hatuwezi kujadili kitu bado iko under construction ambayo haijasafirisha kitu, hata mende bado. Productivity ndo muhimu, hata Ethiopia wakona electric lakini our revenue numbers ziko juu zaidi compared to their fancy electric railway. Yenu ikianza kazi mtajoin mjadala tupime numbers.
Kwa statistics za lini? Ethiopia wameshawaacha mbali in all levels hata gdp wapo juu yenu
 
Ni wapi umeona milimani city? SGR yenu ikianza kutumika leta mjadala. Hatuwezi kujadili kitu bado iko under construction ambayo haijasafirisha kitu, hata mende bado. Productivity ndo muhimu, hata Ethiopia wakona electric lakini our revenue numbers ziko juu zaidi compared to their fancy electric railway. Yenu ikianza kazi mtajoin mjadala tupime numbers.
Kwisha habari. Ethiopia imetoka wapi Mzee.
Tujadili SGR ya kenya sasa. Vipi nani aliwashauri kuwa na cargo train speed yake ni 80km/h!?
 
Back
Top Bottom