Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

A true 3 levels interchange in Kano Nigeria!



CC: all @Wakunya

4th frame inafanana pangani interchange ile hua umepinga. Tanzania mzima ina interchange mbili na unaongea mambo ya interchange. Express itakua na hizo 3 tier mingi.
 
2019 Revenue numbers (passenger & Freight)
Ethiopia Electric 40 million dollars
Kenya Diesel 126 million dollars.
Tanzania Electric 0 million dollar.
hapo mnanunua diesel ambayo mnaagiza nnje ,ukija bongo tutatumia umeme wetu kwa matumizi ya uendeshaji trains..

nani bora zaidi hapo..?
 
Wadau walingoja hii lakini walipewa msalaba kama interchange. Yani an overpass road.
IMG_20210717_141055.jpg
😂😂😂😂
 
hapo mnanunua diesel ambayo mnaagiza nnje ,ukija bongo tutatumia umeme wetu kwa matumizi ya uendeshaji trains..

nani bora zaidi hapo..?
Revenue ndo muhimu kwa biashara. Ethiopia tunawashinda na times 3 revenue na reli inafika Djibouti. Nyinyi yenu itakua times 10. Morogoro hakuna kazi ya freight LA muhimu, munategemea passenger trains na haina pesa mingi hio.
 
Revenue ndo muhimu kwa biashara. Ethiopia tunawashinda na times 3 revenue na reli inafika Djibouti. Nyinyi yenu itakua times 10. Morogoro hakuna kazi ya freight LA muhimu, munategemea passenger trains na haina pesa mingi hio.
Tz ni nchi ambayo Mwenyezi Mungu aliiumba kimkakati, imezungukwa na nchi 8, ni uzembe wa viongozi tuliokuwa nao miaka ya nyuma kushindwa kuifanya hii nchi kuwa developed na ndiyo maana miaka michache baada ya kuongozwa Magufuli ikaanza kufanya projects kubwa kubwa kwa pesa za ndani.

Hivyo usitegemee ur failed SGR kuizidi Central corridor kwa mapato never.
 

Rhinos to be reintroduced on Mount Meru

ippmedia.com/en/news/rhinos-be-reintroduced-mount-meru

July 16, 2021
16Jul 2021
Marc Nkwame
Arusha
News
The Guardian
Rhinos to be reintroduced on Mount Meru

THE world’s most endangered wildlife species, rhinos, will soon be re-introduced to the foot of Mount Meru, Tanzania’s second highest mountain, in fresh efforts to boost tourism in the Arusha National Park.

NDUMBAROOOO%20ED.jpg


Natural Resources and Tourism minister Dr Damas Ndumbaro declared as much during a familiarisation tour of the park.

While there, he learned that rhinos used to roam the tourist attraction many years ago but, much like in many other parts of the country, the ferocious mammals disappeared for various reasons – including the infamous horn-hunting poaching.

“Arusha National Park is the most accessible tourist destination in the country, being very close to both Arusha City and Kilimanjaro International Airport,” said the minister, adding that the park should be the easiest attraction to international market but also needs more and exciting saleable products.

The park’s Deputy Conservation Commissioner in-charge, Albert Mziray, told Dr Ndumbaro that they were planning to re-introduce rhinos, with the minister advising that they could make use of the rhinos being bred at the Mkomazi National Park sanctuary.

“If you take six rhinos from Mkomazi and replant them here, eventually they will reproduce and soon the animals will roam the park en-masse again,” said the minister.

“Black rhino are natives of this location, for they once roamed the slopes of Mount Meru,” explained Mziray.

William Mwakilema, Tanzania National Park’s (Tanapa) Deputy Conservation Commissioner for Conservation and Business Development, meanwhile said they intend to boost the park’s visitors from the current 64,000 tourists to 250,000 visitors and eventually to hit the half-a-million mark in five years’ time.

Arusha National Park has almost every feature that can be found in various other destinations such as a mountain, a lake, a crater, savannah plains, dense forests, rivers, historical sites and rich variety of wildlife, but the destination still needs more attractions to graduate into an all-in-one park.

The relatively small park was established in 1960, making it the oldest after Serengeti and Ngorongoro, and is home to common animal species like giraffes, Cape buffaloes, zebras, Warthog, the black-and-white Colobus monkey, the Blue monkeys, elephants, bushbucks and giant pythons, one of which the minister came across during his trekking.

Leopards are also to be found in the park although they are quite shy and are thus rarely seen.



MY TAKE
To those Kunyans that claims only Nairobi is the city with a NP in Africa and only a picture taken from Amboseli NP is the most beautiful!
Ole wenu,vifaru mliwinda mkawamaliza,Ukosefu wa utu na maadhili mema!😭🙄😤😠😡Tz,nchi nzima vifaru ni 190,samahani! very sad 😢!?
Screenshot_20210717-150843.png
Screenshot_20210717-144649.png
Screenshot_20210717-145628.png
Screenshot_20210717-144510.png
Screenshot_20210717-152939.png
Screenshot_20210717-153012.png
 
Tz ni nchi ambayo Mwenyezi Mungu aliiumba kimkakati, imezungukwa na nchi 8, ni uzembe wa viongozi tuliokuwa nao miaka ya nyuma kushindwa kuifanya hii nchi kuwa developed na ndiyo maana miaka michache baada ya kuongozwa Magufuli ikaanza kufanya projects kubwa kubwa kwa pesa za ndani.

Hivyo usitegemee ur failed SGR kuizidi Central corridor kwa mapato never.
I've never seen more delusional people than Tanzanians on this forum - especially this thread.
 
Back
Top Bottom