Uyo jamaa hawezimudu hada dakika kwa sababu anataka kulazimisha fikra zake potovu ziwe ukweli. Posta na Kariakoo zimetenganishwa tu na barabara. Swali ni je, Kutoka posta hadi Kariakoo ni km tatu? Nataka uwe mkweli
View attachment 1855585
BRT STATION
Analazmisha kenge awe kondoo🤣🤣🤣
Kwan hii nimepima nn 😂😂👇👇👇Kumbe hujui kutumia maps, weka kutembea kwa miguu usiwe fala.
Ile police station wangeibomoa kwanza wakatafuta nafas nzuri ya kujenga vzr ikaleta taswira nzuriYes, wachina wanachimba Bomba na mitaro ya drainage pale. Na kituo cha BRT.. Wata link BRT, SGR na Airport..
Jengo la pili refu la TRC hapo pembeni ya station ndio bado hati hati.. Wamepageuza parking nadhani.
Huyu mutabishana nae mpaka asbh 😂😂 anachojua yeye ni kuhangaika kutafuta slum dar ambayo mzungu na technology yake yote hajaonaWewe hujui kitu Uliza ueleweshwe kati ya Posta na Kariakoo kuna Kisutu na Mnazi mmoja na wala hazijapakana au kutenganishwa na barabara kama unavyosema
Haya sikieni hii gazeti 😅😅😅 anaanza kulia kwamba hakuna density kwao infact tizama mji kama tokyo ndio mujifunze kuita cityIn the middle there is a park and a golf club bro a town is not all about buildings people need amenities they need parks, walks and places people can seat and relax that is a modern town not just buildings and noise take an example of European towns actually very few are that too densely concetrted with just high rises only fools believe a good town is just clustering buildings.
Umebadilisha gear angani 🤣🤣🤣🤣Nkt actually dah is just a cluster of buildings without proper amenities.... very minimal parks and recreation options
Unahesabu mpaka njia za kuingia na kutoa 😂😂😂😂😂 ujinga ni mzigoView attachment 1855574
nairobi kenya ....barabara tunazo...na zile hatari mno ziko jikoni. lane kumi na mbili....12 lanes
Mnaongea ni kama hizi picha za Dar tumeanza kuziona hapa leo for the first time.Wewe hujui kitu Uliza ueleweshwe kati ya Posta na Kariakoo kuna Kisutu na Mnazi mmoja na wala hazijapakana au kutenganishwa na barabara kama unavyosema