Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna any 30km dual carriage to CBD hata 25km bado ni ndoto. Outering Road ambayo hata haipitii CBD is longer than any dual carriageway heading to Dar CBD.
Tunaanza
Morogoro Road.
Inaanzia kisutu mpaka kibamba is a dual carriageway
29km
Anza kuhesebu Mzee
Screenshot_20210713-175810.png
Screenshot_20210713-175726.png
 
Ukubwa wa Dar ni udongo na low life residentials.., mikwara wa vijijini wamejaza mji kutafuta "maisha" kwa mji masikini!😂😂 developed area ni less than 10%.., ama unamaanisha ujenzi wowote ule ni "developed".., 😂 .,
Naipori-slums-everywhere ipo idle kama joblessness iliopo Kunyaland, ni kubwa mno

Pamoja na kwamba naipori-slums-everywhere ni very Tinny lakini bado ni kijiji ambacho kina mapori makubwa na vichaka vingi mno 😂😂😂

Huwezi kuta huu ushubwada Dar

Eti metropolis 😂😂😂😂

Screenshot_20210713-180955.png
Screenshot_20210713-181114.png
Screenshot_20210713-181049.png
 
Morogoro road
Bagamoyo road
Kawawa road
Mandela road
Nyerere road
Kilwa road
Sam Nujoma Road
Shekhe Kilango Road
Bibi titi Mohamed road
Coco beach road
Hizi zote ni dual carriage
Bado sijaongelea za mitaani.
Kwani hii battle hawaitaki au?
 
Tunaanza
Morogoro Road.
Inaanzia kisutu mpaka kibamba is a dual carriageway
29km
Anza kuhesebu Mzee
View attachment 1851710View attachment 1851711
Dual ya morogoro inaanzia Kimara hapo mbele ni just 2 sections on and off sio continuous. Kimara to Kisutu is only 16KM. Bado nangoja unionyeshe over 30km continuous to CBD. Au hata bila kupita CBD kama vile Southern bypass is a whole continuous 31km stretch bila kuunganisha na njia ingine.
 
Dual ya morogoro inaanzia Kimara hapo mbele ni just 2 sections on and off sio continuous. Kimara to Kisutu is only 16KM. Bado nangoja unionyeshe over 30km continuous to CBD. Au hata bila kupita CBD kama vile Southern bypass is a whole continuous 31km stretch bila kuunganisha na njia ingine.
Mzee nadhani unaleta ubishi wa kijinga.
Morogoro road ipo dual carriage mpaka kibaha mkoa wa pwani. Nimekuletea mwisho kibamba tu.
🤣 🤣 🤣
 
Dual ya morogoro inaanzia Kimara hapo mbele ni just 2 sections on and off sio continuous. Kimara to Kisutu is only 16KM. Bado nangoja unionyeshe over 30km continuous to CBD. Au hata bila kupita CBD kama vile Southern bypass is a whole continuous 31km stretch bila kuunganisha na njia ingine.
Mzee hebu tuwekee hiyo ya Nairobi 30km. Inatoka wapi kwenda wapi. 🤣🤣🤣
 
Morogoro road
Bagamoyo road
Kawawa road
Mandela road
Nyerere road
Kilwa road
Sam Nujoma Road
Shekhe Kilango Road
Bibi titi Mohamed road
Coco beach road
Hizi zote ni dual carriage
Bado sijaongelea za mitaani.
Umemaliza ju hata najua hakuna yenye inafika 30km hapo.
 
Naipori-slums-everywhere ipo idle kama joblessness iliopo Kunyaland, ni kubwa mno

Pamoja na kwamba naipori-slums-everywhere ni very Tinny lakini bado ni kijiji ambacho kina mapori makubwa na vichaka vingi mno 😂😂😂

Huwezi kuta huu ushubwada Dar

Eti metropolis 😂😂😂😂

View attachment 1851732View attachment 1851733View attachment 1851734
Nairobi has higher population density than Dar. Nairobi watu wengi wanaishii juu ya hewa sio kama Dar ghorofa za residential area sio mingi thus having a big urban sprawl.
 
Mzee tukianza kutaja majina ya barabara morogoro road is more than 100km.
Thika road from where to where au unataka nianze kukuaibisha. Tema mate suuu
Bado umekosa 30km dual carriageway in Dar. Unalia lia tu, umekua ukitafuta for 3hours now.
 
Mzee tukianza kutaja majina ya barabara morogoro road is more than 100km.
Thika road from where to where au unataka nianze kukuaibisha. Tema mate suuu
Machakos junction hadi Limuru road junction ni 83km long continuous dual carriageway stretch. Western bypass pia ni dual iko under construction, NHC missing link road pia iko under construction na ni dual. Za mtaa kama Langata Road, Ngong road, Jogoo road, mbagathi way, Redhill road ni mingi. Nairobi CBD pia ziko hadi Eastleigh na Ngara. Hapa nimeona hakuna battle wacha tu iishe.
 
Back
Top Bottom