Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Watu wengi wanaishi kwenye slums bana, naipori-slums-everywhere ina slums zaidi ya 25, mathare ina slum dwellers zaidi ya 1.7 million, Kibera 2 million hizo 23 bado 😅😅😅Nairobi has higher population density than Dar. Nairobi watu wengi wanaishii juu ya hewa sio kama Dar ghorofa za residential area sio mingi thus having a big urban sprawl.




