Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tilisi Estate in Tigoni, Limuru bei inaanzia 23 millio, almost double of what unapost hapa. Hata sitaongea kuhusu Tatu City which is 35km from CBD plus many properties in Isinya and Kajiado over 60 km from CBD.
Kwasababu ardhi inamilikiwa na wale wale wajanja kama sio investors basi politicians 😂😂😂😂😂
 
Ikiwa lami hakuna CBD nairobi itakua bunju 😂😂😂😂 na ukumbuke na dar nikubwa mara tatu ya nairobi 👇👇👇👇

Kubwa mara tatu na Dar imejaza one way streets and single lane roads. Dual carriage way zenu ni fupi sana na unajichocha na size.
 
Kuna mkunya anasema Dar viwanja bei rahisi

43 kilometres from CBDs land prices hii hapa 😂😂😂

Yeye alete 43 kilometres from Nairobi land prices as well tuone


Limuru is 44kms from Nairobi cbd na nyumba zinauzwa hadi Ksh 100m. Hizo ni shilingi bilioni mbili za Tanzania!
Screenshot_20210713-131013~2.png
 
Ikiwa CBd nairobi hakuna lami baadhi ya maeneo mengi itakua huko 😂😂 ww nenda na barabara kutoka lunga lunga hadi mombasa ukaone uozo
Huko machakani kwao full aibu,acha tu wawe wanaiba picha za nchi zingine maana nchi lao limeoza 😀
 
Mbona sijaona vitu vya ajabu kwenye hizo picha jamani? Kitu cha ajabu tu nimeona ni kwamba sehemu moja inapigwa picha in five different angles
Hayo macho yako yanaona nn Kwan?ulitaka uone pesa ama
 
Back
Top Bottom