Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hajulikani hata mmoja hapo, nenda kwenye youtube yako ukikosa video za watanzania 10 zipo trending Kunyaland njoo uniambie

Alikiba yupo Kunyaland anaondoka na pesa mara 10 za hao wakimbiahovyo wenu bila kukimbia kama kichaa, yeye anasema tu yoyoyoyo mnampa pesa zote mlizonazo sasa nani mjanja? 😂😂😂😂😂
Imagine 🤣🤣👇👇👇
B526A7C9-5915-4AFA-A108-E6A73BBA88C5.jpeg
 
Tilisi Estate in Tigoni, Limuru bei inaanzia 23 millio, almost double of what unapost hapa. Hata sitaongea kuhusu Tatu City which is 35km from CBD plus many properties in Isinya and Kajiado over 60 km from CBD.
Kwasababu ardhi inamilikiwa na wale wale wajanja kama sio investors basi politicians 😂😂😂😂😂
 
Ikiwa lami hakuna CBD nairobi itakua bunju 😂😂😂😂 na ukumbuke na dar nikubwa mara tatu ya nairobi 👇👇👇👇

Kubwa mara tatu na Dar imejaza one way streets and single lane roads. Dual carriage way zenu ni fupi sana na unajichocha na size.
 
Back
Top Bottom