Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,115
- 17,837
Southern bypass. 29.6km
Southern bypass. 29.6km
Kwani nani kakuambia Morogoro, Pwani na mikoa mingine pembezoni mwa Dar haijaendeleaNairobi outgrew its administrative and political boundaries long time ago. Hizo sehemu hutaki tutaje zimeendelea na kujejengeka kwa sababu ya Nairobi. Hundreds of thousands of people from those regions get their daily bread from working in Nairobi and they consider themselves Nairobians
anamjua allaine🙈Hiyo interview ya Diamond ni ya watu wanaojuana, Snoop anamjua Mond, na Mond anamjua Snoop usifananishe na hiyo picha ya huyo prezzo na uyo mwingine cjui nani nikama walikuwa wanapiga picha na hao ma Star, sasa unaleta mtu kama king kaka anamjua nani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Those are political boundaries kijana. Limuru is part of Nairobi metropolis. Tutawaambili hii hadi lini?Kiambu County siku hizi ipo Nairobi? 😂😂😂
Mbona Nairobi haiwezi kukabiliana na Dar peke yake bila misaada? 😂😂😂
View attachment 1851527
Yale mapori, slums, zoo, national Park yapo maeneo gani Tokyo na Gauteng? 😂😂😂😂, ni chini ya 35% tu ya naipori ndio ipo urbanised 🤣🤣🤣Nairobi is growing to a megapolis like Tokyo or Gauteng region. Merging all the towns surrounding its metro into one big city cluster.
Ni watu wangapi wanafanya kazi Dar kila siku na kurudi makwao Morogoro?Kwani nani kakuambia Morogoro, Pwani na mikoa mingine pembezoni mwa Dar haijaendelea
Leta mambo yaliopo ndani ya political boundaries za Nairobi County wewe mama, tunajua Dar 1 ni Nairobi 10 😂😂😂😂
Nataka Nairobi County sio Kiambu we zobaThose are political boundaries kijana. Limuru is part of Nairobi metropolis. Tutawaambili hii hadi lini?
Niletee nyumba zinauzwa hiyo bei Bagamoyo au LindiKiambu County siku hizi ipo Nairobi? 😂😂😂
Mbona Nairobi haiwezi kukabiliana na Dar peke yake bila misaada? 😂😂😂
View attachment 1851527
Unashangaa kwasababu Dar hakuna dual carriageway inakaribia hata 50km while Nairobi ni hadi 80km na bado serikali inafanya mikakati kuongeza an extra 150kmKiambu County siku hizi ipo Nairobi? 😂😂😂
Mbona Nairobi haiwezi kukabiliana na Dar peke yake bila misaada? 😂😂😂
View attachment 1851527
Thousands, nenda Magufuli terminal uone kila baada ya nusu saa Youtong inaamsha Moro, the same to Msamvu TerminalNi watu wangapi wanafanya kazi Dar kila siku na kurudi makwao Morogoro?
Hii ngoma ingekuwa Dar pangependeza sana, tatizo kinachoharibu nchi nyingi za Afrika maudongo mekundu yanaharibu mandhari. Ona hapo Ghana infrastructure ni nzuri lkn hayo maudongo yametoa ladha yoteee.ingekuwa kenya hii, tungekoma humu
Zipo kilometres ngapi from CBDs? 😂😂😂Niletee nyumba zinauzwa hiyo bei Bagamoyo au Lindi
Akijua broken english na akipata hela ya kununua suit tayari ni middle income earner makazi kibera jioni[emoji23][emoji23][emoji23] wanakwambia wamesoma hao eti wakijua broken english tayar ana degree mbili
Nairobi ipi ina straight way ya hizo kilometres from the centre? 😂😂😂😂Unashangaa kwasababu Dar hakuna dual carriageway inakaribia hata 50km while Nairobi ni hadi 80km na bado serikali inafanya mikakati kuongeza an extra 150km
Thousands, nenda Magufuli terminal uone kila baada ya nusu saa Youtong inaamsha Moro, the same to Msamvu Terminal
Hawa silaha yao pekee wakibanwa ni kutaja ukubwa wa Dar. Hapa Africa, Dar ni kubwa hata kwa Cape Town but kimaendeleo ni takataka mbele ya Cape Town. Wanafaa wajiulize huo ukubwa wa Dar inaisaidiaje wakati Nairobi ni jiji tajiri kuliko Dar licha ya huo udogo wake na pia imeendelea kuliko hiyo jiji lao kubwaUnashangaa kwasababu Dar hakuna dual carriageway inakaribia hata 50km while Nairobi ni hadi 80km na bado serikali inafanya mikakati kuongeza an extra 150km
Hao ni abiria wa kawaida which is a normal thing in any big city. They are not daily commutersThousands, nenda Magufuli terminal uone kila baada ya nusu saa Youtong inaamsha Moro, the same to Msamvu Terminal
Tajiri wa slums labdaHawa silaha yao pekee wakibanwa ni kutaja ukubwa wa Dar. Hapa Africa, Dar ni kubwa hata kwa Cape Town but kimaendeleo ni takataka mbele ya Cape Town. Wanafaa wajiulize huo ukubwa wa Dar inaisaidiaje wakati Nairobi ni jiji tajiri kuliko Dar licha ya huo udogo wake na pia imeendelea kuliko hiyo jiji lao kubwa
Are you not the same guy who said Limuru is not in Nairobi?Zipo kilometres ngapi from CBDs? 😂😂😂