Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Competition gani kubwa mshaihost kwa hiyo kiwanja chenu? Ukinitajia hata moja nalog off😂😂😂Sisi tuna pesa na ndiyo maana michezo kama kukimbia kimbia hatuwezi ila tuna uwanja wa kisasa ku host big competition, nyie ni maskini wa kutupa licha ya wanambio wenu kufanya vizuri lkn mnashindwa kuwawekea mazingira mazuri
Nchi ya kifukara bhn, mfano cc mpira pia hatujui ila tuna pesa ya kuwa na timu tajiri ukanda huu kufanya kuwa Europe ya wachezaji wa East and Central Africa
Pesa co shida Tz na ndiyo maana tulipoamua tu ndani ya miaka 10 tu ilitosha kuadabisha nchi zote ukanda huu kwa kuleta vitu modern
Medali zote ni za mchezo wa kitumwa![]()



hii ndio nairobi