Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi tuna pesa na ndiyo maana michezo kama kukimbia kimbia hatuwezi ila tuna uwanja wa kisasa ku host big competition, nyie ni maskini wa kutupa licha ya wanambio wenu kufanya vizuri lkn mnashindwa kuwawekea mazingira mazuri

Nchi ya kifukara bhn, mfano cc mpira pia hatujui ila tuna pesa ya kuwa na timu tajiri ukanda huu kufanya kuwa Europe ya wachezaji wa East and Central Africa

Pesa co shida Tz na ndiyo maana tulipoamua tu ndani ya miaka 10 tu ilitosha kuadabisha nchi zote ukanda huu kwa kuleta vitu modern

Medali zote ni za mchezo wa kitumwa
Competition gani kubwa mshaihost kwa hiyo kiwanja chenu? Ukinitajia hata moja nalog off😂😂😂
 
Kukimbia tu mbn hatuwezi cc

Cc co watumwa bhn, na haupo kwenye vichwa vyetu mchezo huo, mpira pia hatujui ila nguvu ya pesa inafanya tuwe na ligi bora, viwanja vya kisasa, coverage ya kuvutia etc na ndiyo maana mchezaji wa Tanzania anaishi maisha ya kitajiri sn, labda kwenye ndondi hapo naweza sema huo mchezo tunaujua lkn michezo mingine yootee hatujui lkn sasa pesa bhn
 
Sisi tuna pesa na ndiyo maana michezo kama kukimbia kimbia hatuwezi ila tuna uwanja wa kisasa ku host big competition, nyie ni maskini wa kutupa licha ya wanambio wenu kufanya vizuri lkn mnashindwa kuwawekea mazingira mazuri

Nchi ya kifukara bhn, mfano cc mpira pia hatujui ila tuna pesa ya kuwa na timu tajiri ukanda huu kufanya kuwa Europe ya wachezaji wa East and Central Africa

Pesa co shida Tz na ndiyo maana tulipoamua tu ndani ya miaka 10 tu ilitosha kuadabisha nchi zote ukanda huu kwa kuleta vitu modern

Medali zote ni za mchezo wa kitumwa
Lame excuse,cry babies 👶 The whole world is in Tokyo,TZ is not special,amateurs!
 
Sio ile ya 90s sahau hio 😂😂👇👇👇

Acha kukwepa discussion, bado tuko hapa😂😂😂👇👇👇


IMG_20210712_230102.jpg
 
Sisi tuna pesa na ndiyo maana michezo kama kukimbia kimbia hatuwezi ila tuna uwanja wa kisasa ku host big competition, nyie ni maskini wa kutupa licha ya wanambio wenu kufanya vizuri lkn mnashindwa kuwawekea mazingira mazuri

Nchi ya kifukara bhn, mfano cc mpira pia hatujui ila tuna pesa ya kuwa na timu tajiri ukanda huu kufanya kuwa Europe ya wachezaji wa East and Central Africa

Pesa co shida Tz na ndiyo maana tulipoamua tu ndani ya miaka 10 tu ilitosha kuadabisha nchi zote ukanda huu kwa kuleta vitu modern

Medali zote ni za mchezo wa kitumwa
Kwa hivyo Marekani ambayo ndio huwa inaongoza jedwali ya medali pia ni nchi fukara just because they are doing good in sports? What bout Russia that does equally good at the Olympics? Wao pia ni fukara? Hizi vijisababu mtaacha lini?

Unaongea kuhusu umasikini unasahau Tanzania ndio nchi fukara zaidi kushinda nchi zote hapa EA? Mbona mnasahau haraka hivyo?
 
Kukimbia tu mbn hatuwezi cc

Cc co watumwa bhn, na haupo kwenye vichwa vyetu mchezo huo, mpira pia hatujui ila nguvu ya pesa inafanya tuwe na ligi bora, viwanja vya kisasa, coverage ya kuvutia etc na ndiyo maana mchezaji wa Tanzania anaishi maisha ya kitajiri sn, labda kwenye ndondi hapo naweza sema huo mchezo tunaujua lkn michezo mingine yootee hatujui lkn sasa pesa bhn
Uchawi pekee ndio mnajua😂😂😂
 
Kukimbia tu mbn hatuwezi cc

Cc co watumwa bhn, na haupo kwenye vichwa vyetu mchezo huo, mpira pia hatujui ila nguvu ya pesa inafanya tuwe na ligi bora, viwanja vya kisasa, coverage ya kuvutia etc na ndiyo maana mchezaji wa Tanzania anaishi maisha ya kitajiri sn, labda kwenye ndondi hapo naweza sema huo mchezo tunaujua lkn michezo mingine yootee hatujui lkn sasa pesa bhn
I don’t see your football team in Tokyo,when was the last time you defeated Kenya????😂
 
Hio simba na yanga inatengeneza revenue kuliko team zote za kenya combined na kama unabisha sema??🤣🤣

nioneshe banda la choo ambalo gor mahia inatumia kama ofisi ukipata nitag nifunge acc 😂😂😂😂
Hiyo revenue imewaletea mataji mangapi hapa Africa? The essence of any sport is to win trophies, not money na ndio maana inaitwa michezo, sio biashara
 
Kwa hivyo Marekani ambayo ndio huwa inaongoza jedwali ya medali pia ni nchi fukara just because they are doing good in sports? What bout Russia that does equally good at the Olympics? Wao pia ni fukara? Hizi vijisababu mtaacha lini?

Unaongea kuhusu umasikini unasahau Tanzania ndio nchi fukara zaidi kushinda nchi zote hapa EA? Mbona mnasahau haraka hivyo?
Siku ukinionesha nchi yoyote duniani yenye electrified SGR, BRT system, 3level interchange, na inalisha jirani zake alafu bado ikawa maskini just tag me

FYI, nchi yoyote duniani isiyokuwa na hizo infrastructures basi juwa kwamba hyo nchi ni ya kizamani mno hata wewe unajua hilo
 
Back
Top Bottom