Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzigo huo hapo
IMG-20210708-WA0141.jpg
 
Mm naongelea present as dar port expansion iko over 85% now na ikikamilika tu this year cargo volume ita shoot to 25m tons to 35m tons 😂😂😂 kaa mkao wa kula

tanga port iko under expansion na bomba linapita pale itaifanya tanga kua bandar ya mafuta kwa ukanda huu

mtwara port iko under expansion bearth two and three na volume imeanza kushoot up

new zanzibar port ujenzi ushaanza tegemea makubwa zaid ya hapo 🤣🤣🤣🤣
Yaani kweli wewe taahira, hivi huoni unaongelea future projections ilhali sasa hivi mombasa port inairambisha sakafu bandari zote za nchi yenu ya kimaskini🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

Ooh sijui tanga port itakua, ooh bwagamoyo inakua reviewed, ooh mtwara. Pumbavu🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Yaani kweli wewe taahira, hivi huoni unaongelea future projections ilhali sasa hivi mombasa port inairambisha sakafu bandari zote za nchi yenu ya kimaskini🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

Ooh sijui tanga port itakua, ooh bwagamoyo inakua reviewed, ooh mtwara. Pumbavu🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Future na ni white elephant project 🤣🤣
Kabla haijaisha ilishatabiriwa ni white elephant mpaka sasa hakuna any impact ilionekana au mm nasema urongo nioneshe meli yapili iliofunga nanga lamu baada ile ya kwanza 😂😂😂😂😂
 
32 minus 3 kwani ni ngapi? Ukipata jibu, rudi uedit post zako🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Onesha sasa hzo 29 mm nifunge acc 😂😂 hata usioneshe 29 nioneshe 4 tu nifunge acc

lamu port inaimbwa toka kibaki 😂😂 na bado haina muelekeo kiuchumi
 
Where are they???? Nioneshe 32 bearth of lamu moja tu hio ukipata nitag nifunge acc
Nioneshe railway na pipeline pia nifunge acc😂😂😂😂😂😂 unaniletea stori zilizozungumzwa toka kwa kibaki mpaka leo
 
View attachment 1846130View attachment 1846131Yani hii nchi ya ajabu sana, leo hii sikutarajia tuwe na expressway kali sana kama hii lakini ishatokea. Sijui kesho tutazindua mradi gani mwingine. Watanzania bado wanasubiri mkopo kutoka morocco🤣🤣
Kesho Ni Nairobi ,Nakuru expressway,,223km😁

Kesho kutwa Ni Nairobi, Mombasa expressway,,470km

Na usisahau tunajenga dual currange way from Thika to Nyeri 84km

Hii nchi tamu Sana🔥🔥🔥🔥😜
 
Kesho Ni Nairobi ,Nakuru expressway,,223km😁

Kesho kutwa Ni Nairobi, Mombasa expressway,,470km

Na usisahau tunajenga dual currange way from Thika to Nyeri 84km

Hii nchi tamu Sana🔥🔥🔥🔥😜
Maneno yako yanachoma mioyo yao sana, i can feel the pain of lazy witches.
 
Back
Top Bottom