Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

e bwana we! coming soon... kwenye One Road One Belt
Kiwanda cha cement kikubwa East and Central Africa worth $1.2billion kipo kinajengwa Tanga by a Chinese government owned company for the construction of that Silk Road in Africa. 6 million tonnes per year kinazalisha. 70% export 30% for domestic use. Mme bakia watazamaji tu wa silk road.Hata sisi mwenye silk road yupo lakini atupigi kelele
2017-06-21-08-33-17-1483539915.jpeg
cement.jpg
2017-06-21-08-33-17-1483539915.jpeg
 
good morning friends and enemies.
politics kidogo kuelekea 8/8/2017.
70233595b43feff706a4fecbabd39ffb.jpg
ffb46794f286ca3fe55c075224d45c15.jpg
b83b4fd23e99e5420b32abf95f5a922f.jpg
 
Msanii mkongwe wa filamu kutoka India(Bollywood), Sunjay Datti ametua nchini Tanzania tayari kwa ziara yake ya kutembelea vivutio vya Utalii.

Imeelezwa kuwa ameanza kwa kutembelea na kupumzika katika Mbuga za Wanyama ya ngorongoro
FB_IMG_1500356518034.jpg
FB_IMG_1500356510568.jpg
FB_IMG_1500356523561.jpg
 
But headquarters Africa ni nai

sent from iPhone 7
Nioneshe kua toyota aftica iko nai.......
Wakati south aftica ina under license we unaniambia toyota africa iko nai hahahhahaha
😀😀😀😀😀😀😀😀😀 sifa zitakuuweni

Basi kwa taarifa yako toyota africa iko south africa🙄🙄🙄🙄
 
believe it or not. personally i know some truck drivers who carry their own gas cookers and food items to cook on their way to zambia simply because they cannot stand zambian tastes of food
😀😀😀😀😀😀😀 zambia na malawi toa kwenye akili yako ndugu haiwezekani na haitawezekana
20170718_085529.jpg
 
Back
Top Bottom