game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,053
- 26,331
Wenzako wakishabambikwa videge vya umwagiliaji pareto second hand toka Marekani basi hayo mabilioni wanayaongezea kwenye bajeti ya Jeshi lao then they feel good kwamba Jeshi lao Lina bajeti kubwa.We usually display very few things my friend of YouTube
Na marekani alivyo mjanja anawarank kabisa kulingana na hayo madege mabovu anayowauzia ili muwe mnashindana kununua hizo Takataka kwake nae aendelee kupiga hela.
Kenyans are Very stupid.
Mambo ya jwtz will remain secret milele. Acha Wamarekani waturank weakest army on Africa. Haitupunguzii kitu. Siri za Jeshi hazitakiwi kumfikia mpinzani.