Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapo kwa malls hawana jibu just the same way kwa 5-star hotels hawakuwa na jibu. Next waulize tuingie battle ya suburbs uone majibu utapewa
Wewe ni Mavi kabisa, yn umeanzisha battle alafu umewaacha wenzio wanaumia.
 
Oh!! Nairobi dwellers when we talk about beauty we mean this
View attachment 1841537
nairobi6.jpg

nairobi kwa raha zako
 
Unaanzisha ugomvi alafu unakimbia meffi kweli wewe, sasa wenzako wametoka manundu kwa usenge wa mtu mmoja
 
Yani kenya ina umaskini kuliko zimbabwe hio GDP ushuzi kazi yake nn ??? 🤣🤣🤣 au inamilikiwa na watu wako ulaya huko

Nimekuambia siku umasikini wenu itaanza kupimwa kwa dola tatu kwa siku njoo kwenye meza ya mazungumzo. Kwa sasa, nchi hazina mbele wala nyuma kama hiyo yenu bado inapimwa kwa kiwango cha dola moja kwa siku
 
Nimekuambia siku umasikini wenu itaanza kupimwa kwa dola tatu kwa siku njoo kwenye meza ya mazungumzo. Kwa sasa, nchi hazina mbele wala nyuma kama hiyo yenu bado inapimwa kwa kiwango cha dola moja kwa siku
Kama middle income country inapimwa ivyo unavyotaka wewe sawa meffi wewe.
 
Back
Top Bottom