Shebby01
JF-Expert Member
- Nov 11, 2020
- 2,520
- 5,872
Hii unajua🙂The only buildings in dar hehe
Hii unajua🙂The only buildings in dar hehe
moi sport centre kasarani mzeeThe day Nairobi Will get sporting facilities like this just tag meView attachment 1841542View attachment 1841543
Siku mkipata jengo kama hili dar slum ni tag![]()
muda so mrefu utakuwa kichaa. Unaanza kutuonesha takataka.
Unaanza kutuonesha building ya floors 6!?
Kweli au kwa sababu nimekwambia blue buildings.
Frukuta uwezavyo ukipata view kama hii Nairobi nitumie SMSSiku mkipata jengo kama hili dar slum ni tagView attachment 1841610View attachment 1841611
Tumezoea hizo toka kitambo
Duu bongo kutamu jamani.
Ukipata view kama hii Nairobi please text me.
Siku nyingine hapana





Rubbish. 🤣 🤣🤣 kwisha habari.
Sina cha kusemaMzee unaanza kuleta Water tanks.
Check vitu hapa mtoto
View attachment 1841630
View attachment 1841632
View attachment 1841633
Kwisha habari yake kilaza
Sio eti ninavyotaka. That's the truth. Ile link mnaletanga hapa eti Kenyanscare poor than Zimbabwe clearly states this fact. Unless mnaletanga links hapa na hamjui contents za hizo links. Kenya inapimwa kwa dola tatu kwa siku na watu masikini ni 20m. Nyinyi mnapimwa kwa dola moja kwa siku na masikini wako 28m. Mnafaa kujiuluza maswali sana nyinyiKama middle income country inapimwa ivyo unavyotaka wewe sawa meffi wewe.