The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Huu uzi nikisema umejaa watoto mnakataa. Sina time ya kutafuta picha online nikileta hapa. Leteni data kuhusu bed capacity, number of hotels etc siwezi participate katika utoto nina shughli za maana hii jumapili.
Makasiriko pelekea nyanyaako.Kubattle na watanzania ni kama kupigana na matope sababu mwishoe wewe ndo utachafuka. Sasa tukianza kupost hoteli za kenya huu uzi utakosa mtiririko.



