Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Tena shule zote hizo za mikoani, hakuna shule za Dar, me mwenyewe nawaleta kwanza wasifikiri nimeanza tayari 😅😅Mkuu ulitumia nyundo kuuwa mende, mwenzio nlikuwa nampeleka taratibu ili avutike alafu ndo tuje tumuue ila we ushauwa tayari, atakuja na maneno ya kanga ila msururu wa buses km huu daima hatoweza kuonesha.
Ooiii pigo lingine hili Wakenya tumewapiga, yn hakuna battle mmewahi shinda ukiacha ya mchezo wa kitumwa![]()


