Lakini bro, ukiishi area kama Eastleigh, Zimmerman, Kahawa west, Githurai na akina Umoja hapa Kenya bado uko categorized unaishi kwa "slums", hauja omoka bado., lakini in Tanzania, hizo takataka zao eti sio slums, kwasababu wanalinganisha na Kibera., if akina eastleigh bado ni low life hapa., je Dar sehemu kubwa zaidi itakua ni nini?
Kuishi hapa kwa hizi flats/appartments


bado uko low life.., maybe u live in some few gated housing around.., but ni slum by Kenyan standards.., kina jacaranda, Nyayo, Buruburu., Greenview etc., ndio sawa..,
View attachment 1838651
View attachment 1838652