Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila mkuu umejuwa kuwapiga, ona mwenzio mabasi aliyoweka alafu na wewe uliyoweka, ni mbingu na ardhi, unajua tatizo cc Watz co watu wa majivuno ila kwa Afrika hii ni nchi chache sn znazoweza kutuzd cc na naweza sema hazzd 3.
Mtu analeta fuso modified anajilinganisha na Tanzania, ukimya wetu wanauchukulia poa
 
Ila mkuu umejuwa kuwapiga, ona mwenzio mabasi aliyoweka alafu na wewe uliyoweka, ni mbingu na ardhi, unajua tatizo cc Watz co watu wa majivuno ila kwa Afrika hii ni nchi chache sn znazoweza kutuzd cc na naweza sema hazzd 3.
Scania na mercedes ndio ukalinganishe na viberiti
Mungu anakuona wewe
 
Hakuna mabasi pale
Au co, leo mmeumia sn
JamiiForums-1781352102.jpg
 
Kaligraph alikuwa nominated kwenye category gani?..na domo naye alikuwa nominated kwa category gani???...halafu sisi tumeshawahi kuchukua kabisa
Viewers choice ndio unakuja kuturingishia hapa, alafu bado khaligraph itabaki kua kamtangulia domo katika nominations za BET
 
Ila mkuu umejuwa kuwapiga, ona mwenzio mabasi aliyoweka alafu na wewe uliyoweka, ni mbingu na ardhi, unajua tatizo cc Watz co watu wa majivuno ila kwa Afrika hii ni nchi chache sn znazoweza kutuzd cc na naweza sema hazzd 3.
Mtu analeta fuso modified anajilinganisha na Tanzania, ukimya wetu wanauchukulia po
Leo umewanyoosha, now wanatafuta picha za kulinganisha lkn waapiii
😅😅😅
Kama Rais wa nchi anatoa kituko kama hiki unategemea nini kwa wananchi?

Screenshot_20210703-202503.png
 
Viewers choice ndio unakuja kuturingishia hapa, alafu bado khaligraph itabaki kua kamtangulia domo katika nominations za BET
Kheee domo BET hajaanza leo kuwa nominated dogo!!!..hadi hivi sasa kawa nominated si chini ya mara 4 ..kumbe we ni bogus,eti kaligraph kamtangulia domo hahaaaa,domo ni level nyingine huyo kali hakuna anachompata domo,domo yuko kilometers nyingi sana we mama
 
Mbona msioneshe Fleet kama hii mnahangaika kupiga each side multiple times?



kuna shule moja (moja ya shule maarufu Dar na zinazofaulisha vizur) nimesoma.. ina mabus mazuri tu.. nimejaribu kutafuta mtandaon nimeyakosa.. bahat yao tu hawa.. ningekuwa nazo ningepost
 
kuna shule moja (moja ya shule maarufu Dar na zinazofaulisha vizur) nimesoma.. ina mabus mazuri tu.. nimejaribu kutafuta mtandaon nimeyakosa.. bahat yao tu hawa.. ningekuwa nazo ningepost
Zipo nyingi ila Naton keshawamaliza lkn wakiendelea tutawafunza adabu
 
Kheee domo BET hajaanza leo kuwa nominated dogo!!!..hadi hivi sasa kawa nominated si chini ya mara 4 ..kumbe we ni bogus,eti kaligraph kamtangulia domo hahaaaa,domo ni level nyingine huyo kali hakuna anachompata domo,domo yuko kilometers nyingi sana we mama
After kufanya research nakuta domo ana nomination mbili tu BET, sasa wewe hzo sio chini ya nne umezitoa wapi..

Khaligraph ni msani ambae haungi haungi km domo hata km kazidiwa, jamaa anajaribu na huenda akafanikiwa na mengi akiongeza bidii
 
Back
Top Bottom