Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi






E4zWxvKWUAY_6XM




E4zWxvJWYAkO0X3

Viwanja vyetu vinahitaji maboresho kidogo sana,sasa sijui tunakwama wapi!?
 
Mnavaaga mask kumbe, si nilidhani wabongo waliamua hakuna c-19 kuanzia mjini hadi mitaani kijijini??? 😂
Hao ni wanapropaganda,wana maslahi yao njuu huku mtaani uone kama kuna mtu ana habari na hizo mask,hakuna mask,hakuna sanitizer, hakuna social distance,hakuna vaccine,hakuna anayezungumzia vaccine..na hakuna kufa...we are very strong,in GOD we trust
 
Which field? 😂 If it's the Kagera war, you had help from allies, MONUSCO was a UN and other elements collaboration too, Mozambique war, you fought alongside allies, the invasion of Anjouan, was a collabo with allies.
Kwa hivyo, hakuna cha better wala nini, na upande wa kuwa equipped, duh huko hata usinguse sababu tuna hami wanajeshi wetu kisawasawa, hatuwabanii. Sio vifaa vya visasa kama bunduki, APC's, makaazi yao, high-end military tech nk... 😂
Askari wenyu wale waliokimbilia machakani kujificha baada ya kuvamiwa na mujahedeen al harakat..kisha kuwaacha americans wanapigana peke yao kule manza bay
 
kuna kitu nimewaza kuhusu Yanga.. yanga msimu ujao wakikaa vizur kimahesabu watasumbua/watakuwa vizur sana kwenye ligi kuu na CAF

Yanga
  • Gharib (GSM)
  • Rostam (Taifa Gas)
  • Manji (Quality Group)

Simba
- Dewji Mo

mim ni simba ila hawa jamaa yanga wakikaa vizur, watatusua sana
Mipango yetu kwa sasa ndo hii hapa mkuu
Screenshot_20210627-225343.jpg
Screenshot_20210627-225335.jpg
Screenshot_20210627-225323.jpg
Screenshot_20210627-225304.jpg
Screenshot_20210627-225335.jpg
Screenshot_20210627-225229.jpg
Screenshot_20210627-225352.jpg
JamiiForums-1562369675.jpg
 
kuna kitu nimewaza kuhusu Yanga.. yanga msimu ujao wakikaa vizur kimahesabu watasumbua/watakuwa vizur sana kwenye ligi kuu na CAF

Yanga
  • Gharib (GSM)
  • Rostam (Taifa Gas)
  • Manji (Quality Group)

Simba
- Dewji Mo

mim ni simba ila hawa jamaa yanga wakikaa vizur, watatusua sana
Aawapii hawa yanga ni vidimbwi type na vidimbwini wanakaa chura wakipiga kelele tu! Utaniambia!
 
We huoni hyo imeinuliwa kw sababu hyo sehemu labda, manake napaona kuna unyevu unyevyu..huenda sehemu yenyewe ni korofi sana kw kubeba maji, so zote ni design moja tofauti mchanga
Wacha kuvamia post bila kujua maana mjinga wewe.
 
Hao ni wanapropaganda,wana maslahi yao njuu huku mtaani uone kama kuna mtu ana habari na hizo mask,hakuna mask,hakuna sanitizer, hakuna social distance,hakuna vaccine,hakuna anayezungumzia vaccine..na hakuna kufa...we are very strong,in GOD we trust
Na tushagundua kwamba ni mchezo mchafu tu na tumeshapotezea, hakuna cha corona wala baba yake na corona wala mama yake na corona hapa, ni kwamba hatunawi mikono, tunajazana kwenye mabasi, na hatupaki sanitizer malamamiyake.
 
Back
Top Bottom