Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi



Now it turning to be importnat to supply and sell Gas to other EA nations ..i can now feel the effect the Natural Gas is bringing to the Economy ..The pipeline inaendelea kuleta umaana sasa ... Nilikuwa nasoma Daily News ..50 factories now use Gas ...And Tz has saved about billions of Usd if oil was used to generate energy and run industries
 
Now it turning to be importnat to supply and sell Gas to other EA nations ..i can now feel the effect the Natural Gas is bringing to the Economy ..The pipeline inaendelea kuleta umaana sasa ... Nilikuwa nasoma Daily News ..50 factories now use Gas ...And Tz has saved about billions of Usd if oil was used to generate energy and run industries
yaani sioni sababu ya kwanini nia yetu ya kuwa transport hub isiwezekane!
 
actually ilisimama walitakiwa wawe mbali maana ilianza 2017!

Sana man ..ni kama vile kuna support hawakupewa na Gov ..maybe?? Au wao wenyewe mzigo walikuwa wanakusanya ..mafaniko ya huu mradi yataona nyingne ya pili inajengwa ..

Serikali isisahau Mafia ,Pemba,Lindi ,Kilwa zote zinapotential hii hasa Pemba na Mafia ..

Mafia wana wale Whale Sharks ambao Tourist wanapenda kuwaona .. i think a Bigger airport and More Advertisment is needed ..
 
2823518_nakuru1.jpg


2823519_nakuru2.jpg



Hizi zipo Nakuru sehemu gani? au umezifyatua huko nyuma kwako?
hahaha.... nimekushika fala hii.. hapa ni nakuru.. hebu wacha nikuoneshe kwa angle ingine ndo uelewe😆😆😆. kumbe kweli nakuru zaidi ya mwanza na arusha..😂
nakuru10.jpeg-1.jpg
nakuru7.jpg
umekubali sasa.. ama ka bado hauniamini, hebu tu google nakuru's "njoro interchange" na "solai interchange".
ama ucheze kwa App ya GoogleEarth
 
hahaha.... nimekushika fala hii.. hapa ni nakuru.. hebu wacha nikuoneshe kwa angle ingine ndo uelewe😆😆😆. kumbe kweli nakuru zaidi ya mwanza na arusha..😂View attachment 1834143View attachment 1834145 umekubali sasa.. ama ka bado hauniamini, hebu tu google nakuru's "njoro interchange" na "section 58 interchange"
ata kwetu ocha mashinani kericho, interchange inajengwa.. ndo ujue kweli kenya sio tanzania..
kenya iko ligi yake. bado tu ni 'uzunguni' jinsi nyerere alivyo sema in 1980.

👇kericho interchange under construction by SBI Int'l Co.
kericho10.jpg
kericho18.jpg
 
hahaha.... nimekushika fala hii.. hapa ni nakuru.. hebu wacha nikuoneshe kwa angle ingine ndo uelewe😆😆😆. kumbe kweli nakuru zaidi ya mwanza na arusha..😂View attachment 1834143 View attachment 1834164 umekubali sasa.. ama ka bado hauniamini, hebu tu google nakuru's "njoro interchange" na "section 58 interchange".
ama ucheze kwa App ya GoogleEarth
Hamna interchanges/flyovers kama hizo nnakuru ndo maana huwezi leta picha nyingine!
 
Back
Top Bottom