Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Upepo umebadilika😀😀😀😀😀
Screenshot_20170717-122743.jpg
 
simba trailer manufacturing limited dar es salaam
custom3.jpg


flatbed3.jpg


attachment


55423262ebc64.jpg
 
si ni wewe umeitisha nissan, au hujui magari. Go back and look at your comment.
sawa buda...nawapongeza wakenya kwa kuwa na luxury buses za kisasa kama zile.hongereni sana.mpo juu sana.sisi LDC hatuna kitu.
 
Wewe kenge kweli. Kazi ya road toll nikuwezesha kujenga Barabara na miundombinu nyingine pamoja nakupunguza foleni. Pia kuhusu crime na traffic issues usaidia sana. Naona nyinyi mko kwenye dunia ya mwisho. Go to developed countries and see the importance of road tolls.
Yani mnalipia kutumia Barbara Ama hujui kazi ya road toll?? Izo vitu tulikataa kabisa ziwekwe thika road....why pay to use a highway.

sent from iPhone 7
 
Wewe kenge kweli. Kazi ya road toll nikuwezesha kujenga Barabara na miundombinu nyingine pamoja nakupunguza foleni. Pia kuhusu crime na traffic issues usaidia sana. Naona nyinyi mko kwenye dunia ya mwisho. Go to developed countries and see the importance of road tolls.
Huyo hua anabisha tu yani yeye kubisha tu
Mzoe huyo ndio mzee wa iphone7😀😀😀
 
i wonder what kind of pictures some of you guys have. you must be leading a very boring life btw
 
i wonder what kind of pictures some of you guys have. you must be leading a very boring life btw
Naona kisu kimeanza kugusa mahali pake. Vitu hivyo Made in Tanzania.
 
Back
Top Bottom