Hzi ni nini????😀😀😀😀😀😀
wagonge pale panapo uma zaidi.Ngoja niwapige kidogo wawe na respect. Tukiwa tumekaa kimya wanadhani nothing is going on in our country. Sijui wanafikri huwa tunasafiri vipi from one place to another.
Buses zinatengenezwa kwa standard za Tanzania. Hakuna kuweka mizigo juu dio sheria iko hivyo. Ukikutwa bus lako unaweka mizigo juu unapigwa faini na bus kufungiwa.
Ngoja niwapige kidogo mpaka iume.
Atakuambia MADE IN KENYA 😀😀😀😀😀😀, labda rangi😀Hzi ni nini????😀😀😀😀😀😀
Hahah naona anatuonesha vituko😀😀😀Atakuambia MADE IN KENYA 😀😀😀😀😀😀, labda rangi😀
kuwa mpole..........naimani hata nairobi yenyewe haujawahi fika......tunajadili hii mijadala hapa wengi wao tunapajua nairobi.......sisi tunadeal na uhalisia hatudeal na picha kwani ule ni ulembo tu waweza piga picha ukiwa angle nzuri na kibaya kikaonekana kizuri.......hivyo wewe pita tu hsujajua maana ya hii threadMtanzania aliyeanzisha hii thread Thanks for embarrassing us. Dar is way way way far from reaching Nairobi. Tutajidanganya na hivi vipya vichache tunavyoviona vinaingia Dar but facts remain bado tupo nyuma. Barabara zetu bado zipo nyuma. Hizo sijui flyover zinazojengwa Nyerere(Pugu) road hazitakiwi kuitwa flyover, viongozi wetu wanapoteza pesa pale. Hata ukiangalia picha Nairobi inaonekana imepangiliwa vizuri na wana plan zilizo katika standard ya majiji mengine duniani. Mfano, wana open park ambayo kwetu ilifungwa (mnazi mmoja) na inauzwa kidogo kidogo.
Saratoga...hii bus ni maarufu sana.hili jina nilishalisikia sana ila sikuwahi liona.asante kwa picha comrade.Dar coach, nawaona wakenya wanaumia kweli hawataki haya mambo yatokee TZ
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kuwa mpole..........naimani hata nairobi yenyewe haujawahi fika......tunajadili hii mijadala hapa wengi wao tunapajua nairobi.......sisi tunadeal na uhalisia hatudeal na picha kwani ule ni ulembo tu waweza piga picha ukiwa angle nzuri na kibaya kikaonekana kizuri.......hivyo wewe pita tu hsujajua maana ya hii thread

Mtawaua hawa😀😀😀😀 wanaota ndoto kua bado tanzania ni ya 90sDar coach
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
some kenyans be like "the owner,manager and design engineers of dar coach are kenyans.Dar coach
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
