Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Deni la mchina watanzania pia watalipa lakini views ni zetu 👇 👇 👇 👇 💉 View attachment 1829217
Hii imewatesa hadi basi., 😂 😂
1624612087551.png
 
KDF ni wazembe sana yaani wanadondoka na machopper daily,na siku nyingine wanadondoka na parachute.. Wanajeshi wao ni unskilled sana,halafu pia serikali yao inapenda sana kununua vitu used..
Unskilled ni wale waliopigwa mapanga. Mwanajeshi unadedi kwa risasi sio panga,... Pumbaff wewe! 🤣 🤣 🤣
 
Wakunya wanachanganyikiwa na kariakoo hadi wanadhani ni CBD namna ilivyo na concrete jungle
Ulijua neno "concrete jungle", sasa kila wakati ni kulitumia hata imeisha ladha 🤣🤣🤣🤣 wacha tukufundishe neno lingine, sawa? 😂 😂 😂 😂
 
EPZ mbona zipo nyingi huku! 🤣 🤣 🤣 Toeni ushamba hapa
Kando na EPZ, kuna mpaka RIVATEX na KICOTEC, both produce high quality garments zinazouzwa mostly Europe and Asia. Angalia vitu Uhunye anavaa mostly shirts, you'll no what am talking about. 😎
Watu saa hii wako kwa special economic zones kama ya dongo kundu ambayo ita create 100,000 new jobs once ikiisha. Mombasa inasukwa kila sector, dar ichukue tahadhari.
20210605_142204.jpg
20210605_142535.jpg
 
EPZ mbona zipo nyingi huku! Toeni ushamba hapa
Kando na EPZ, kuna mpaka RIVATEX na KICOTEC, both produce high quality garments zinazouzwa mostly Europe and Asia. Angalia vitu Uhunye anavaa mostly shirts, you'll know what am talking about.
Simon amepost picha bila kumshambulia yoyote halafu wewe na akili yako fupi iliyo na utapiamlo unaanza kumshambulia.
Nyie wakunya mna shida mahali kwenye ubongo wenu.
 
Ulijua neno "concrete jungle", sasa kila wakati ni kulitumia hata imeisha ladha 🤣🤣🤣🤣 wacha tukufundishe neno lingine, sawa? 😂 😂 😂 😂
nionyeshe sehemu nyingine nilipolitumia,otherwise unawashwa ta.ko lete tulikune
 
Back
Top Bottom