Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kirubi alone alikua anamiliki 40b estate inamaana alikua amewapangisha wakenya wangap hapo 🤣🤣🤣🤣 ukiwaambia ndoto ya plot na nyumba watasubiri dunia iunbwe tena wanaanza kunya povu
Nicxie
 
Bwahaha!!we msukuma ndio wa kumfundisha kijana wa pwani kiswahili[emoji1787][emoji1787]naona imekuumaee, kalia cha kati mzee km imekuuma sana .

Eti jamaa nalo linajiskia lina akili kumbe kamasi tu, pangua hyo mzee km wewe bingwa sana la kiswahili..
Hamuwezi kutuharibia lugha kw lafudhi zenu za kipuuzi[emoji1787][emoji1787]View attachment 1825869View attachment 1825870
😂😂😂 We mpuuzi sio swara ni Swala chukua hilo neno gazelle libadilishe kwenda kiswahili utapata kitu kama hiki hapa 👇..
Screenshot_20210621-220911_1.jpg
.. hakuna neno Swara kwenye lugha ya kiswahili we mwehu .. usibashane na Mimi kabisa kuhusu kiswahili, haujui chochote nimekwambia .. Alaf hii mikunya inashida gani.? hiv kweli we mwehu ubishane na mimi ambae kiswahili ni lugha yangu ya taifa .? MAAJABU YA MWAKA HAYA.. Nakwambia tena ukijiona unajua kiswahili nyoosha kidole jifanye kama unajikuna nikuulize maswali.. mbona rahisi tu we kocho
 
😂😂😂 We mpuuzi sio swara ni Swala chukua hilo neno gazelle libadilishe kwenda kiswahili utapata kitu kama hiki hapa 👇.. View attachment 1825894 .. hakuna neno Swara kwenye lugha ya kiswahili we mwehu .. usibashane na Mimi kabisa kuhusu kiswahili, haujui chochote nimekwambia .. Alaf hii mikunya inashida gani.? hiv kweli we mwehu ubishane na mimi ambae kiswahili ni lugha yangu ya taifa .? MAAJABU YA MWAKA HAYA.. Nakwambia tena ukijiona unajua kiswahili nyoosha kidole jifanye kama unajikuna nikuulize maswali.. mbona rahisi tu we kocho
Achana nalo hilo. Ujinge umejaa kichwani. Wakenya asilimia kubwa wapo hivyo.
 
Wewe naona unamatatizo yako binafsi. Huoni hata wakenya wenzio wamekuchunia.
Tafuta Kamusi ya BAKITA
Download APP hapa:-


Hatuna neno swara kwenye kiswahili. Hizo kamusi zako uchwara ni upumbavu.
Utaanzaje kubishia watu wanatumia kiswahili kila Siku!?
Eti watu[emoji1787][emoji1787]
Nenda kafute hyo bendera yenu hapo kw translate uweke somali..

Tatizo R na L ziliwachanganya mpka mkaamua kuamini km wanaitwa hvo..pole sana mzee
 
Kwn mzee, hii bado ni ile ile project moja ya kuelekea mpka mariakani kabisa..
Hii barabara ni noma sana, kuanzia 2019 jamaa walikua wanaichimba mpka leo kazi inaendelea tu..kwn tatizo nini manake kw maoni yangu wako slow
Ndio wako slow lakini kazi pia nikubwa sana. Hio barabara inachallenges nyingi sana hasa ya landscaping. Mfano hapo mikindani interchange walichimba mpaka sijui metre ngapi alafu wakafunga machuma mpaka juu. Sasa imagine kila baada ya metre chache kazi ni hii so lazima ichelewe.
2019-05-03.jpg
IMG_20190503_205352.jpg
IMG_20181027_182840.jpg
 
alafu na shangaa sana na hii tzdi, yani tu Ubungu interchange moja tu!. ndo watakua wakibweka nayo kila leo... kwani kenya tuna ngapi, ata kando tu na nairobi
Ubungo ndio three level interchange so far ni lazma ushangae sio ombi 😀😀😀 munayo ngapi hebu tafuta three level ukipata nitag
 
Back
Top Bottom