Capt Richie
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 1,503
- 3,817
No. That is not Ciala. Those are just people's houses in an estate in RiatKisumu wapi hii? As far as i know that is a resort called Ciala AND NOT residence!
No. That is not Ciala. Those are just people's houses in an estate in RiatKisumu wapi hii? As far as i know that is a resort called Ciala AND NOT residence!
Evidence plse!No. That is not Ciala. Those are just people's houses in an estate in Riat
Ukikaidi kuvaa mask unakufa kuf kufView attachment 1819350
Hautakuwa mtanzania wa kwanza kukana picha za Dar wala hautakuwa wa mwisho. Hiyo tumezoea. Unasema eti Dar hakuna concentration kama huo. Swali ni je, hapa penye concentration ya juu sio Dar?Only mad man can deny that those pictures are not the same, narudia tena kukwambia hakuna mpangilio huo wa nyumba Tz hata huyo mwandishi anasema hapo ni Zanzibar lkn pia co kweli, eti Darunaumwa Mavi wewe, tangu lini Dar ikawa concentration ya nyumba km hiyo? Haitakuja kutokea daima dumu labda dunia iumbwe tena km anavyowaambia ichoboy
![]()
Hiyo Gor Mahia yenye haina banda la choo ndio ilitoa wachezaji walioshinda timu yenu ya taifa ambayo wachezaji wake wanatoka vilabu zenye vyoo! 😂 😂Nairobi slum mulifika wapi???🤣🤣🤣 ndio team zenyewe hzo gormahia hata banda la choo hawana hzo pesa huenda wapi mukipata???
Taja mahali imeandikwa ingefaa ifike 40 floorsMbona dogo na tuliambiwa 40floors 🤣🤣🤣🤣 au pesa ilikata
Shule ilikua mpango wa Magufuli piaMagu alikuwa na mipango mizuri sana, haya anayozindua au kuweka saini mama ni mipango ya Magu, nasubiri kuona mipango ya mama after one or two years.. hili mojawapo la kujenga shule za sayansi kwa ajili ya waischana by mama naipa tick ✅👏🤝👊.. waiting for more from her
JPM yupi huyo? Aliyekataa wasichana waliopata mimba kurudi shule?Shule ilikua mpango wa Magufuli pia
Haya Kama sielewi Yesu inaandikwaje,inaanzia na Capital letter ama Small letter😬Hivi hawa huwa mnawaelewa?
JPM hajawahi kukataa waischana wajawazito wasirudi shule, hiyo ni sheria yeye mwenyewe aliikuta ipo toka siku nyingiJPM yupi huyo? Aliyekataa wasichana waliopata mimba kurudi shule?
Government city Mtumba
Watapinga tu Hawa Wahuni,Na Mpaka Tz BRT yao Upupu Inaonekana very Clearly😆🤣🤣🤣Hautakuwa mtanzania wa kwanza kukana picha za Dar wala hautakuwa wa mwisho. Hiyo tumezoea. Unasema eti Dar hakuna concentration kama huo. Swali ni je, hapa penye concentration ya juu sio Dar?
View attachment 1819716View attachment 1819721
Najua hata hizo pia ungepinga sio Dar lakini ubaya brt imekuuza
Wacha kutudanganya huu mradi wa shule za kike kila mkoa si wa JPM! Kwanza alinyimwa fedha kutokana na sera mbovu kwa watoto wasichana! Tupe evidence basi!JPM hajawahi kukataa waischana wajawazito wasirudi shule, hiyo ni sheria yeye mwenyewe aliikuta ipo toka siku nyingi
Na yeye ndio aliepeleka proposal WB kupatiwa mkopo ambao ndio wenye components za kujenga shule za sayansi za bweni maalum kwa wasichana.
Lazy ass make use of Google type Government city Mtumba Dodoma!Mtumba ni wapi na mradi ni wa ujenzi wa nini!?
JPM hajawahi kukataa waischana wajawazito wasirudi shule, hiyo ni sheria yeye mwenyewe aliikuta ipo toka siku nyingi
Na yeye ndio aliepeleka proposal WB kupatiwa mkopo ambao ndio wenye components za kujenga shule za sayansi za bweni maalum kwa wasichana.
Sera zipi mbovu?Wacha kutudanganya huu mradi wa shule za kike kila mkoa si wa JPM! Kwanza alinyimwa fedha kutokana na sera mbovu kwa watoto wasichana! Tupe evidence basi!
Duuuh jamani njooni muone station ya brt!!!Look at the roofing at the Nairobi BRT station and realize how serious it will be. Not the galsheet kienyeji kama za Dar
View attachment 1819760View attachment 1819761
😍🇰🇪🔥🔥Look at the roofing at the Nairobi BRT station and realize how serious it will be. Not the galsheet kienyeji kama za Dar
View attachment 1819760View attachment 1819761