Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na sisi tunakifikisha Amerika na haturingi Bado tupo tuπŸ˜†πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ”₯πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ’‰
Nyie mumefkisha wapi kiswahili watumwa wakizungu nyie 😁😁😁 mwengine akijua goodmorning basi anajiona ana degree
 
Makufuli Pombe died at the Right Time,if not Tanzania could have headed The Venezuela way,Everything in TZ was breaking down and with down I mean completely Failed Country,Ombeni Mungu Suluhu alikuja kuwaokolea,eti Donor Kantreeeeeh πŸ˜†πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Kufa ni ibada ya kila mmoja hakuna mtu ambae hatakufa duniani sasa lini utakufa hio ni Kazi ya Mungu pekee, na ww usifkiri projects haziendelei zinaendelea na project nyingi zinaanzishwa kila siku sasa ww kalia kulia wakat nchi inasoga mbele πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Oneni gari zao za nairobi county πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡
View attachment 1814076
Mizigo ya serikali inapakiwa aisee! 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣
Bora ya County Council of Nairobi... πŸ˜‚
images (3).jpeg
 
Nyie mumefkisha wapi kiswahili watumwa wakizungu nyie 😁😁😁 mwengine akijua goodmorning basi anajiona ana degree
Mpaka South Sudan na Uganda,DRC,Somalia,na Ethiopia wanaongea kiswahili ama Unataka kusema Ni TZ mulipanda ndege mukawafunza kiswahili,kwanza kiswahili yenu haina ladha,huoni mpaka Vitabu za shule za viswahili zimeandikwa na Nani???Je wamfahamu Ken WaliboraπŸ”₯πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ”₯πŸ’‰πŸ’‰πŸ˜†πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Mizigo ya serikali inapakiwa aisee! 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣
Bora ya County Council of Nairobi... πŸ˜‚
View attachment 1814169
MaajabuπŸ˜†πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Mizigo ya serikali inapakiwa aisee! 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣
Bora ya County Council of Nairobi... πŸ˜‚
View attachment 1814169
Kwa gari hzi πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
E42612FB-6ED1-4EF4-A9AC-742269F8566F.jpeg
 
Mizigo ya serikali inapakiwa aisee! 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣
Bora ya County Council of Nairobi... πŸ˜‚
View attachment 1814169
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
3C412D7D-4844-47CB-871A-307425B3754F.jpeg
2AE712EB-5CA4-4878-A115-418139F60A69.jpeg
08B5086E-5ECC-4E9B-9750-F978530E1F19.jpeg
 
Mpaka South Sudan na Uganda,DRC,Somalia,na Ethiopia wanaongea kiswahili ama Unataka kusema Ni TZ mulipanda ndege mukawafunza kiswahili,kwanza kiswahili yenu haina ladha,huoni mpaka Vitabu za shule za viswahili zimeandikwa na Nani???Je wamfahamu Ken WaliboraπŸ”₯πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ”₯πŸ’‰πŸ’‰πŸ˜†πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
🀣🀣🀣🀣🀣🀣uganda congo uhehehhehehehhehe nimecheka kwa sauti kubwa sana
 
Kwasababu kiswahili ndio lugha kuu tanzania na ndio maana tanzania ndio inapigana kiswahili kitapakae africa na iwe lugha ya africa πŸ˜‚πŸ˜‚ alaf baadae tunaenda kufanikiwa muje museme bila nyie kiswahili kisingefika africa kusini
Ah bhana, mnapigania kiswa kiwe lugha ya Afrika? πŸ˜‚ Hivi mmoroco, mtunisia, mlibya, mnigeria, mchad, mDjibouti, na wengineo waanze kuongea Kiswahili sasa, sababu mwataka? Labda Tanzania m colonize Afrika nzima ka wazungu walivyofanya! Huu ukanda wetu tosha, wengine wakitaka haya watajifundisha ila hakitatapakaa unavyodhani!🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 kwetu probox na noah zinabeba nyasi za ngombe
Kwani ulitaka zibebe mavi ya ng'ombe? Ama wewe huwa una dictate venye gari zenyu zitatumiwa na wenyewe? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom