Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umebadili gear hewani, mbona tena mzee..we si ilikua hutaki watu wajue lugha inayotumika katika utoaji wa elimu yetu
Wewe huwa sikulaumu maana ni mjinga na ni mkumbaf.

Huwa unakuta comment ya mtu na kuibadilisha ili upate kuijibu.
Kama ni muziki ni sawasawa na kutoka nje ya biti kabisa.
 
nimegundua tu kumbe watu wako Skuli humu JF. kumbe JF ni shule ya watzii kujifunza kingereza toka kwa wakenya. hio nilijua nikiwa 'kisumu vs mwanza'. ata hawajui maana ya Skyline, CBD, City Proper, Metropolitan Area, Peri-urban, Suburbs. etc
Naona comment yangu moja imewapenya Jaluo hadi kunako mferejini.
Utadhani mimi ndio nimewapa accent mbovu.
 
😅😅😅,,Na Sasa after hio expressway from Nairobi to Nakuru ikimaliziwa watapotelea wapi??😂
😂😂😂 bruh cheza chini..... actually sitacheza chini. magu alikufa wakapata suluhu. hiyo highway ilimalizika itawatesa sana labda watapa suluhisho nyingine huko Zanzibar( see what I did there, yeah I got all the fuckery with me tahday!!!) kikihboy ...I'm on one my dude😁😁😁
 
😂😂😂 bruh cheza chini..... actually sitacheza chini. magu alikufa wakapata suluhu. hiyo highway ilimalizika itawatesa sana labda watapa suluhisho nyingine huko Zanzibar( see what I did there, yeah I got all the fuckery with me tahday!!!) kikihboy ...I'm on one my dude😁😁😁
Wakunya mnaongea mavitu yasiyoeleweka yaani mpo kama zombie
 
ngoja nikutafutie...

Nakuru market
nakuru-2001-040.jpg



Nakuru-19-Arrival-0326.jpg


BffG1NzDSD285OK0t7E2TiXICF3k1korUHgXnOyDs0FoOrSg5MYBjhHZguTCPXnxeKTNqHuAmBf5Xq8aJPsja5tpJVw=s750





Nakuru bus station
800px-Nakuru_bus_station_%282293421259%29.jpg


AF1QipNvyB2IukezRo06SuR6m2Kv3I7ktgRiBQDFg5EW=s1600-w400



ajmxvedwru4ydq0ovc5fe36ffe47d34.jpg



Nakuru Lanet Airport
zkfugpsnofkjot32i860a4f75a9d713.jpg
hiyo kweli nakuru imeendana na jina kabisa haijakosewa kupewa hilo jina
 
of course a bongolala would complain about not understanding things. no surprises there.

bruh don't try me, Im with the shits today homeboy
You are with the shits under your pant!!!!..that's why you are talking bullshits...hueleweki yaani mpo kama zombie si English wala Swahili mnachojua..
 
Now, you got it ..zungumza kama hivyo kidooogo sasa unaeleweka sio unakuwa kama mlevi,unazungumza ujinga kama zombie
hold bro let me check in my bag and see if I got any fucks left to give.....mmhh I'm sorry I'm fresh out of fucks. I guess it's safe to say I don't give a f*ck about what verbal diarrhea you serving up
 
hold bro let me check in my bag and see if I got any fucks left to give.....mmhh I'm sorry I'm fresh out of fucks. I guess it's safe to say I don't give a f*ck about what verbal diarrhea you serving up
Unajikuta black america wakati ni mjaluo wa kisii...sasa hivi unaeleweka,keep it up
 
Hao Uganda huwa hawaongei broken ila wana accent mbovu tu.
Nyie mnaboronga na pia mna accent mbovu kweli kweli.

Gikuyu accent kwenye kingereza

Hao Zimbabwe wanaongea utadhani ni mzungu kutoka ulaya.

Embu linganisha accent ya Mtanzania na hiyo accent yenu mbovu.
Si ndio nyinyi ambao mnachukia wazungu, inakuwaje leo kutaka kuongea na accent ya kwao??? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Tena kuzidisha, unashobokea wenye accent ya kizungu eti nzuri, aah kweli nimekuelewa mkuu, utafika hata wewe huko, ama nikuvushe huku niko ndio uwe na accent hiyo? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom