Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mnarudia picha moja kila siku wkt cc tunaweka maeneo tofauti tofauti, kweli Nairobi ni takataka kwa Dar
Umeumia, hiki ni kichochoro 👇 👇 👇 👇 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
IMG_20210609_061945_531.jpg
IMG_20210609_055640.jpg
 
Hehehehee mbn unaongea kiunyonge, hilo ni eneo linalovutia zaidi East and Central Africa, hapo panaitwa Rome of East and Central Africa au huoni panavyokaa Rome
Mjifunze kupanga miji, hii ni aibu kubwa, 👇 👇 👇 👇 👇 rome ushuzi
IMG_20210609_055445_232.jpg
IMG_20210609_061945_531.jpg
 
Alafu wakenya mna mambo ya ajabu Sana,mmeanza figisu ya kuzuia mahindi ya Tanzania 🇹🇿 kijanja kwa kucjelewesha makusudi.Rais Samia alifanya makosa kuwaamini Hawa nyang'aus
 
Watalii wanaikwepa Kunyaland kama mavi

Surprisingly kunyans gonna count them in their tourists register lol

Tukiweka mipango mizuri hata hii New York to Nairobi flight inapaswa kuwa Air Tanzania! Ila kufanya hio tunapaswa kuwa na long route aircraft (B787s or A330 neos) zisizopungua 10 maana saahii tayari route ya China itakayoambatana na Bangkok aircraft hazitoshi na kama tutaenda London pia ina maana B787s au A330 neos zinapaswa kuwa 5-6 at least kabla ya kwenda New York! It is safe kusema tunapaswa kuwa na kama 12 (B787or a mix with A330 neos) to be a serious aviator and fully benefit from our tourism! Mama asithubutu kufungua Bolongoja gate!


A little reminder...
 
Back
Top Bottom