Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So ww ukikasirika unaokota picha za google unasema dar ama ??🤣🤣🤣
Mimi sio mwehu kaka., let me relax as I follow proceedings in Kisumu
IMG_20210601_133629~2.jpg
IMG_20210601_133659~2.jpg
 
Ili mikunya iende SA bila visa huwa inabidi wajifanye wabongo.

Mikunya mingi kule SA inajifanya wabongo na kujitambulisha kama Watanzania
niende SA nikafanye nini mm.. ilhali kenya tuko na kila kitu! kenya sihami!
 
Inapenda bongo kichizi hii mikunya, yaani ndoto zao ni kuolewa na mbongo au kufanya kazi bongo, ndio maana imejazana kwenye media za wabongo kusaka ujuzi wa namna ya kufanana na wa Tanzania

Tatizo hatuitaki, yaani na hustles zote hizo lakini hatuikubali mikunya kabisa yaani
Daily wanalilia waingie Tanzania kwa kutumia kitambulisho
 
Normal standards za Dar; nyumba za kawaida Dar.., mashambani in Dar is slum.,
View attachment 1804674
View attachment 1804676
View attachment 1804677
View attachment 1804678
tafuta mitaa za kilawani ujionee..juzi kuna jamaa amekua nairobi akaenda ku cherry pick picha za sehemu flani alafu anasema afadhali wao wako vyema...nikakumbuka mitaa zao kama keko,kilawani,buguruni....na kadhalika,,pamoja na wale machinga(hawkers) wako dar...nikacheka tu..kweli nyani haoni kundule..
 
Back
Top Bottom