Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

NAkwambia siku nikienda watanyea debe yani wasiombe nipate safari mwaka huu🤣🤣
😂 😂 😂 Wanaweza hata kukuhonga kitu kidogo na ulivyo na gadgets za uhakika watalia maana ukipiga picha mpk inzi mchanga anatokea Wallah!!!Ukienda usisahau kuja na picha ya Komora96
 
😂 😂 😂 Wanaweza hata kukuhonga kitu kidogo na ulivyo na gadgets za uhakika watalia maana ukipiga picha mpk inzi mchanga anatokea Wallah!!!Ukienda usisahau kuja na picha ya Komora96
Mm napiga picha mpaka michirizi ya chupi na vilivyomo vitaonekana ntamwambia NDINDA aniazime ile camera yake ya go pro hero 8 au 9😀😀😀
 
Vipi story ya lami kila pahali, inaendaje? 😂
Hakuna nchi inajengwa kwa siku moja na utambue tanzania ni kubwa mara mbili ya kenya unategemea itajengwa lami kwa siku moja ??😀😀😀 mbona muna wasiwasi sana
 
kwanza huyu ichoboy na geza ulole, either ni wakenyareé wasaliti... ama ni watzii bonoko wameishi chikenya more than 20yrs......
 
Back
Top Bottom