The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Huwezi kupost picture 2 za kenya posh areas bila kutanguliza cages, ni tajiri gani anakaa kwenye hizi standard of cages you are showing us? 😅😅😅Maeneo wanayoishi whites 😂 😂 😂 😂
View attachment 1802727View attachment 1802728View attachment 1802734View attachment 1802736View attachment 1802737View attachment 1802739View attachment 1802740View attachment 1802741View attachment 1802742View attachment 1802747View attachment 1802753View attachment 1802756View attachment 1802759
Ndo maana alikuwa fast kumkanya Ruto kuhusu hustler vs dynasty politics! Anajua hatari yake!Kweli kufanya mambo ili tu upate sifa za kijinga ni aibu sana. Sasa huyu Uhuru Kenyatta badala ya ku-prioritize issue ya maji na Sanitary services kwa jiji la Nairobi yeye amekomaa na express way ambayo kimsingi haileti impact kubwa sana kwa majority of Nairobians. Ama kweli Kenya is half dead! Sisi TZ mara nyingi tunafanya miradi ambayo inaleta impact kwa watu wengi kwa maisha ya kila siku. We think big and ahead before we implement these big projects.
Aisee I dare to say Kenya is the most dertiest country in the continent and may be in the world.
Wewe ni mgeni humu tulia.picha gani ya daily hapa!??.. kwani ushawai ona picha gani hapa before. hii yoote.. ni geni kwako aisee
Swala la maji ni kitu kipo but it's not something that happens evertime. Nairobi inategemea maji kutoka Ndakaini Dam na wakati wa kiangazi ndio hiyo shida ya maji hutokea. I think I am lucky coz tangu nianze kuishi Nairobi personally I have never experienced this problem but I know this is not the case with everyone. There are many ongoing projects aimed at solving this problem unless you just haven't heard about them.My friend suala la ukosefu wa maji na uchafu wa jiji la Nairobi has been there for decades now but your governement has given it the back side. Kama unapinga hili basi wewe sio wa Nairobi au unapinga tu hi mradi umepinga. Hata Dar miaka ya nyuma tulikuwa na tatizo la maji katika maeneo kadhaa ya jiji. Kwa kutambua kuwa usafi wa jiji unaendena na upatikani wa maji serikali ilifanya miradi kadhaa ambayo imepunguza kwa kiasi kikubwa sana tatizo la maji katika jiji la dar.
Magufuli amejenga Kijazi (Ubungo) interchange ili kusolve suala la traffic congestion katika eneo hilo na impact yake inaonekana kila gari iwe ya tajiri au maskini inapita free of charge tofauti na hii express way yenu mnayojenga ambayo only the select (high and middle class) people watakuwa wanaweza kupita hapo tena kwa miaka karibu 30. (ndio maana nikasema miradi inayolenga kusaidia wananchi wote bila ubaguzi) na hata kama kuna mradi wa kulipia wanachi serikali yetu huwa inaweka viwango rafiki ambavyo hata wananchi wa kipato kidogo wanaweza ku-afford kulipia.
☹️ this is just unbearable, man eat man society.Huyu mwamba anachota na kumwaga mbolea kwenye two wheels yake🙂👇👇View attachment 1802788
Sasa wewe unaingia mada yenye hata hujui kichwa ni wapi mguu ni wapi! Mwenzako kasema eti maeneo yote mazuri Nairobi wanaishi whites. I responded in a sarcastic way by posting a few rich neighborhoods and majority middle-incone areas ndio aone alivyo kilaza.Huwezi kupost picture 2 za kenya posh areas bila kutanguliza cages, ni tajiri gani anakaa kwenye hizi standard of cages you are showing us? 😅😅😅
Daah aiseeHuyu mwamba anachota na kumwaga mbolea kwenye two wheels yake🙂👇👇View attachment 1802788
Dooh nimewaonea imani 😭😭😭😭😭Sasa wewe unaingia mada yenye hata hujui kichwa ni wapi mguu ni wapi! Mwenzako kasema eti maeneo yote mazuri Nairobi wanaishi whites. I responded in a sarcastic way by posting a few rich neighborhoods and majority middle-incone areas ndio aone alivyo kilaza.
Alafu unasahau kwamba hizo cages ndio mfumo kule kwa matajiri wenu Masaki? Unakejeli cage wakati bwenyenye wenu anaishi ndani ya cage hapo Masaki 😂 😂 😂 What a satire!
So unfortunate many live in this situation 😔😔😔😔☹️ this is just unbearable, man eat man society.
Nyie si muzungu class,nini kinakuliza sasa!!!Mwenzako bado anatafuta pa kupiga picha
Lkn ywasuburia arudi muthurwa ndio apige tena
Na hii pia ni Nairobi ile ya malls kila kona ma posh houseDooh nimewaonea imani 😭😭😭😭😭
![]()
They want be like us but they can't,so they feel Jealous 🤣🤣🤣🤣with a country double size than us and bigger population than us,but we almost double them in GDP,Roads, Electricity,Companies,Airports,Ports,etc,Yani almost everything 😭😂😂😂😂😂😂tukisema tu ukweli, watz wana penda kenya saana!. ukiona mtu anajisumbua na ww sana, hadi anafanya upekuzi. hakupi nafasi.. anakufwata ata hadi bedroom. ujue tu huyo mtu anakupenda
Ujaluo na Uhuru tangu lini? Sema Ukikuyu na Uhuru! Wajaluo wao mtu wao ni Raila.Kama hawa ni wajaluo, wakasikia unamsema vibaya uhuru kuhusu serikali yake kuiba 2 billion daily wanaweza kukuua na wakamtetea Rais wao mpaka wanaingia kaburini 😱😱😱😱
![]()