Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
Hamna kucheka na kima,mama kakaza 🤣Walijua mteremko 🤣🤣🤣🤣 kumbe uzi ule ule
Hamna kucheka na kima,mama kakaza 🤣Walijua mteremko 🤣🤣🤣🤣 kumbe uzi ule ule
Wanakamuliwa left, right & centerHuku tanzania nyumba unauziwa from 15m to 25m depending on size alaf unapewa period time yakulipa about 25yrs
sasa wenzetu mshahara wenyewe tia maji kazi hazieleweki nyumba inauzwa 15m ksh alaf anapewa period ya 7yrs hebu nambie mm nani atanunuatena kuna riba juu ya 1.25%
ndio maana huwezi sikia wana ndoto ya kua na nyumba wala plotView attachment 1799772



Sina ila nikipata nitatupia.Una data za occupancy Office spaces?
70% wako kwenye slums hawana ndoto na maisha alaf 15% wapo besitter wakijiita middle class 🤣🤣🤣🤣 waliobakia sasa ndio familia za politicians, investors na baadhi ya wafanya biashara wakubwa kubwaWanakamuliwa left, right & center![]()
Vibali wataskia kwenye ndoto ya alinacha 🤣Hamna kucheka na kima,mama kakaza 🤣
Yule nae wakat mwengine kisomo ni muhimu sana 😀😀😀Juzi nilimshangaa Msukuma ati kupinga viwanda vya dhahabu kuwa nje ya Geita! Sasa nikajiuliza tukianza mtindo huo basi tutafika mahali hata kulazimishana kilimo! Dhahabu Tanzania ipo sehemu nyingi Mara mpaka Chunya mpaka Dodoma mpaka Singida pia Mtwara. Sasa sijui itakuwaje kama gold refineries zitakuwa Geita tu?
Wanaumia kwa ground ila wakiwa humu jamiiforums wanajitutumua70% wako kwenye slums hawana ndoto na maisha alaf 15% wapo besitter wakijiita middle classwaliobakia sasa ndio familia za politicians, investors na baadhi ya wafanya biashara wakubwa kubwa


uzuri tunafahamu tabia zao.Washakariri mbezi bichi na masaki tuuNadhani hii ndio mara ya kwanza Bunju kutajwa humu
Kuna sehemu kibao za Dar sijawahi ona zikitajwa humu.
Maisha yao huwa ni ya kukariri.Washakariri mbezi bichi na masaki tuu
Hii sector ikisimamiwa kiufasaha sector madini(metals na gemstones) alone itafanya contribution kwa GDP kupita malengo ya 10%!Yule nae wakat mwengine kisomo ni muhimu sana 😀😀😀
Na tunaendelea kukariri 😂 😂 😂 😂Maisha yao huwa ni ya kukariri.
Wakiwa twitter wanalia huko wakija hapa wanajitia wazalendo kwneye hamna🤣🤣🤣Wanaumia kwa ground ila wakiwa humu jamiiforums wanajitutumuauzuri tunafahamu tabia zao.
Source who standard bank??🤣🤣🤣
Kabisa na ndio lengo tufike hukoHii sector ikisimamiwa kiufasaha sector madini(metals na gemstones) alone itafanya contribution kwa GDP kupita malengo ya 10%!
Ndio hii hii source unatumia tanzania ina millionares $ mara tatu ya kenya 🤣🤣🤣
Karen unafananisha na masaki 🤣🤣🤣 mwenzako anakwambia area ilikua ya whites then ikachukuliwa na wajanja wachache wakajenga estates na kuwakodishia matajiri 🤣🤣🤣 tukikwambia leta dream house za matajiri wenu waliojenga wenyewe hamuna, munaanza kuleta habari ya dream car
Huyu anakuambia ana interest za kufanya kazi Tanzania 🤣,wakunya wote wana ndoto hizo 🤣Vibali wataskia kwenye ndoto ya alinacha 🤣