Kachengcheng
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,551
- 979
Kila kitu kwanza Barabara na Reli zinaelekezwa wapi??Maendeleo yapi wamepelekewa wasukuma?
Kila kitu kwanza Barabara na Reli zinaelekezwa wapi??Maendeleo yapi wamepelekewa wasukuma?
Mbona Madiwani wamekataa mkoa mpya wa Chato??Magu angekua hai🙏🙆🙈Maendeleo yapi wamepelekewa wasukuma?
Mikoa yote ya Tanzania imeunganishwa kwa barabara za lami.Kila kitu kwanza Barabara na Reli zinaelekezwa wapi??
Hata JPM akiwa hai hakuwahi kukubali kufanya chato kuwa mkoa na alikuwa na uwezo huo.Mbona Madiwani wamekataa mkoa mpya wa Chato??Magu angekua hai[emoji120][emoji134][emoji85]
Hii lazma ni Nairobi! Kuna mtu anabisha?View attachment 1800046
Bowsar la maji lileee...
Nimeamini akili yako finyu kweli! 🤣 🤣 🤣 Hiyo si ni ile picha ya pale juu? Nimekwambia nitumie post/link ambayo inayoonyesha wakulima wakikaa kwenye Estate za kupewa na mwajiriwa wao! 🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 siwezi kukuamgushaView attachment 1799756
Mtu mmoja sio watu wote, hehe my friend Tz it's scary, yaani story za uchawi na kurogana tu, nyie nafkiri number moja, bora KE mara mia! 😬😂Huyu anakuambia ana interest za kufanya kazi Tanzania 🤣,wakunya wote wana ndoto hizo 🤣
View attachment 1799832
Update: BRT Kenya
MY TAKE
Naomba kuuliza hapo median section mtu wa wheel chair anashuka au kupanda vp?
Nature ya urefu inawabeba hasa kwenye huo mchezo kama wakiamua kweli watatoboa kikwelikweli.looks like Rwanda wanataka kuspecialize in Basketball sport over football sport ..
Ila huyo kagame mnafiki sana,si mtu wa kumuamini hata kidogoNature ya urefu inawabeba hasa kwenye huo mchezo kama wakiamua kweli watatoboa kikwelikweli.
Mana mchezo huo hahutaji watu kama kina ngasa.[emoji16]
Hebu tuoneshe na makalio ya wakenya vs ya watanzania tucheke kidogo.Tanzania Court of Appeal - Highest Court in Tanzania
View attachment 1800207
Supreme Court of Kenya - Highest Court in Kenya
View attachment 1800208
Hata haichekeshi.... 🤔🙄Hebu tuoneshe na makalio ya wakenya vs ya watanzania tucheke kidogo.
Kuna nini cha kuficha? Uborongaji? kama huu?In authorised
Nashangaa Unauthorised personnel wanawezane ingia construction site na kupifa picha...
Karen ni ya whites tuKaren unafananisha na masaki 🤣🤣🤣 mwenzako anakwambia area ilikua ya whites then ikachukuliwa na wajanja wachache wakajenga estates na kuwakodishia matajiri 🤣🤣🤣 tukikwambia leta dream house za matajiri wenu waliojenga wenyewe hamuna, munaanza kuleta habari ya dream car