Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwenzako aliitisha battle ya green spaces nikamwabia tuanze na golf courses akashindwa kujibu. Kwani golf course ni estate? Tuliza kende
hamna kitu kipya cha kupost zaidi ya estate ambazo ni hizo hizo tu miaka nenda rudi,,,,,,

wakati kuna zaidi ya 4M ya wakenya hapo nairobi,,,ambao hawatoshi kwenye hizo estate hata kwa 2% hawafiki
 
So unafananisha New York na Nairobi we pumb.u?
Si shida yenu ni kuona miti na green spaces in Nairobi ama? And is it not you who asked me to show you ANY modern city with lots of green spaces? Is New York not a modern city? Ama ulikuwa unataka nikuletee Mwanza? Wacha nikupeleke karibu na nyumbani pale Harare ndio ujue mko nyuma kama mkia wa mbuzi
Screenshot_20210523-134527~2.png
Screenshot_20210523-134602~2.png
Screenshot_20210523-134646~2.png
Screenshot_20210523-134905~2.png


Lesson: Don't diss green spaces in other cities just because you don't have such in your city na badala yake mkajaza uswazi kila mahali. Cities all over the world are embracing greenery and you are busy dissing it just because hamna!

Some of us have had to work so hard to maintain such green spaces that you are busy dissing. Kuna wakati Moi wanted to build a 62-tower office building in the heart of Uhuru Park but this was thwarted by environmentalists. Uhuru Park wouldn't be here today if Moi had his way. That's how serious it is in Nairobi.
 
the richest and most effluent square-mile in eastern and central africa. its one and only UpperHill, nbi
 
Si shida yenu ni kuona miti na green spaces in Nairobi ama? And is it not you who asked me to show you ANY modern city with lots of green spaces? Is New York not a modern city? Ama ulikuwa unataka nikuletee Mwanza? Wacha nikupeleke karibu na nyumbani pale Harare ndio ujue mko nyuma kama mkia wa mbuzi
View attachment 1795105View attachment 1795107View attachment 1795109View attachment 1795110

Lesson: Don't diss green spaces in other cities just because you don't have such in your city na badala yake mkajaza uswazi kila mahali. Cities all over the world are embracing greenery and you are busy dissing it just because hamna!

Some of us have had to work so hard to maintain such green spaces that you are busy dissing. Kuna wakati Moi wanted to build a 62-tower office building in the heart of Uhuru Park but this was thwarted by environmentalists. Uhuru Park wouldn't be here today if Moi had his way. That's how serious it is in Nairobi.

Yani anakuambia umuonyeshe green spaces kwa modern cities halafu ukimuonyesha anabadilisha magoli? Dalili za kushindwa hizo.😂😂😂

Btw, waeleze kuwa Mama Hayati Wangari Maathai, the only African woman with a Nobel prize, alishinda Nobel prize kwa kutetea hizo miti za Nairobi zisikatwe otherwise tungekuwa na unplanned settlements kila Mahali kama Dar without much green spaces.
 
Yani anakuambia umuonyeshe green spaces kwa modern cities halafu ukimuonyesha anabadilisha magoli? Dalili za kushindwa hizo.😂😂😂

Btw, waeleze kuwa Mama Hayati Wangari Maathai, the only African woman with a Nobel prize, alishinda Nobel prize kwa kutetea hizo miti za Nairobi zisikatwe otherwise tungekuwa na unplanned settlements kila Mahali kama Dar without much green spaces.
Si unajua how good they are at changing lanes. Anaitisha evidence nikishampa anabadilisha gear. Wacha wadeal na uswazi zao polepole, we are not to blame for their mess.
 
hamna kitu kipya cha kupost zaidi ya estate ambazo ni hizo hizo tu miaka nenda rudi,,,,,,

wakati kuna zaidi ya 4M ya wakenya hapo nairobi,,,ambao hawatoshi kwenye hizo estate hata kwa 2% hawafiki
Wengi wao wanaishi Kibera sivyo? 😂 😂 😂 😂 😂
2.5 million of them in an area measuring 2.5 square kilometers giving it a population density of one million people per square kilometer! 😂 😂 😂
 
Wengi wao wanaishi Kibera sivyo? 😂 😂 😂 😂 😂
2.5 million of them in an area measuring 2.5 square kilometers giving it a population density of one million people per square kilometer! 😂 😂 😂
Hivi yeye anaishi kwa hizo render zenye amepost hapo juu?😂😂😂
 
Si shida yenu ni kuona miti na green spaces in Nairobi ama? And is it not you who asked me to show you ANY modern city with lots of green spaces? Is New York not a modern city? Ama ulikuwa unataka nikuletee Mwanza? Wacha nikupeleke karibu na nyumbani pale Harare ndio ujue mko nyuma kama mkia wa mbuzi
View attachment 1795105View attachment 1795107View attachment 1795109View attachment 1795110

Lesson: Don't diss green spaces in other cities just because you don't have such in your city na badala yake mkajaza uswazi kila mahali. Cities all over the world are embracing greenery and you are busy dissing it just because hamna!

Some of us have had to work so hard to maintain such green spaces that you are busy dissing. Kuna wakati Moi wanted to build a 62-tower office building in the heart of Uhuru Park but this was thwarted by environmentalists. Uhuru Park wouldn't be here today if Moi had his way. That's how serious it is in Nairobi.
Soma vzr nilichokuomba ufanye na co kukurupuka onesha CBD zenye misitu minene km ya Nairobi wacha upuuzi, and btw were not u who said that westerners want to restore their cities? What does that statement mean?
 
Back
Top Bottom