Leo nimekutana na mzimbabwe mmoja tukawa tunabadilishana mawazo, akaniambia vipi Dar nikamjibu kama unavyoiona, akaendelea kusema kwamba Dar hakuna mambo ya mask kabisa nikamwambia vipi Harare, akasema kule ni mask tu, nikamuuliza vipi Dar unavyoona kuna corona? Akanijibu hakuna corona hapa Dar.
Tukaendelea, nikamuuliza unadhani ni kwanini? Akanijibu Magufuli alikuwa na akili nyingi sana, nikamwambia lkn ndio keshakufa, jamaa akanijibu westerners killed Magufuli am telling you, dah roho ikaniuma sn.