Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nikatae nn kwamba machakos na kiambu sio counties ama
Hoja kwishaa
New jersey na pennyslavannia states mbona kuna sehemu zipo under new york metro..
Endelea kubisha pekeako mzee, uzuri km ni somo limeingia
 
Bado unandoto za kushindana na dar yani umekosa ndoto ya kumiliki ardhi bado unandoto ya kushindana na dar
Rudini kwenye mada hapana kukimbia kimbia ovyo
Dar haina metro
We ukitaka lia, levels zake ni akina bujumbura mzee
 
Rudi kwenye mada is metro a county??? Na kama sio basi acha kiambu na machakos zifanye kazi yake kama county
Jibu lako hilo hapo chini kilazanew jersey ni metro ama ni state
20210521_171347.jpg
 
Sijaona slum yoyote hapo. Zaidi sana umetuletea picha ya roof za Nyumba.
Tukisema slums ni Nyumba za mabati kuanzia chini mpaka juu.

Tanzania Nyumba ni za cement bricks mzee.
Wewe shuka chini uone.
Dar kw ukubwa wake inatakiwa sai iwe km akina new york ki development, simaanishi viwango mie nisije nikapigwa vitasa..
Dar inatakiwa kw sasa iwe imejengeka atleast 70% lkn mzee bado sana, upo dar lkn bado barabarani unakatiza misitu tena eti sio kw ajili ya greenspace ni maendeleo hakuna
 
Mbona unajichosha na terminologies!?
Nairobi County itabaki Nairobi county haiwezi ongezeka. Size yake ni 696 km²
Na nairobi metro itaongeza wigo na kunyakua maeneo jirani km inavyofanya sasa hivi..
Pole sana lkn
 
Dar kw ukubwa wake inatakiwa sai iwe km akina new york ki development, simaanishi viwango mie nisije nikapigwa vitasa..
Dar inatakiwa kw sasa iwe imejengeka atleast 70% lkn mzee bado sana, upo dar lkn bado barabarani unakatiza misitu tena eti sio kw ajili ya greenspace ni maendeleo hakuna
Asante kwa kutambua level ya Dar ni New York.
 
Na nairobi metro itaongeza wigo na kunyakua maeneo jirani km inavyofanya sasa hivi..
Pole sana lkn
Mzee Nairobi ni Nairobi tu. Hata sisi tupo na Kanda ya Pwani ambayo inaunganisha Mkoa wa Morogoro, Pwani na Dar.

Nairobi size yake ni 696 km²
 
Hii ndio barabara best tanzania nzima, damn!!jamaa kaleta best of the best.congratulations bro
Barabara hii na ile uliyoiponda ni moja na mkandarasi ni mmoja,kipande hiki kishakamilika kipande ulichodai kibaya bado kipo under construction ndio ukaona bado wamepanga mapipa
 
Back
Top Bottom