ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 73,418
- 136,751
Ww na mzungu nani aneona zaidi ya mwenzie na nani anajua zaidi ya mwenzie๐๐๐๐Kwani dar hakuna๐๐๐
Ww na mzungu nani aneona zaidi ya mwenzie na nani anajua zaidi ya mwenzie๐๐๐๐Kwani dar hakuna๐๐๐
Ulikuwa unataka tusikie tu hiyo sauti yako ya chura na hasira zako ama? Hiyo video yako haionyeshi chochote. Nasikia tu sauti ya vilaza wawili na neno ushuzi likitemwa kama pilipiliYosef Festo Coco Master Nicxie ๐คฃ๐๐ hii ni tandale leo nimeamua kupita huku kuwaonesha video zangu mwenyewe haya fananishani na ushuzi sasa๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Tanzania slum haitakuwepo mpaka dunia inasmama mukasirike mpaka uharo uwatoke๐
View attachment 1785563
Mzee Hii hapa ni Kariakoo.
Hiyo 40 ni percentage bongolala. Hivi, mulinyimwa ubongo hadi na macho pia mkanyimwa?Nyinyi muko million 40๐๐๐ unawazimu wa kichwa wewe
Nenda Uhuru Park kwenye free WIFI. Huwezi kuona maana internet yako ni weak. Hiyo ni HD huwezi ukaona kwenye net ya kukwama kwama.Ulikuwa unataka tusikie tu hiyo sauti yako ya chura na hasira zako ama? Hiyo video yako haionyeshi chochote. Nasikia tu sauti ya vilaza wawili na neno ushuzi likitemwa kama pilipili
Hii mboba hupost unachagua sehemi moja moja tu ndio unapost hata umabali wa picha ni tofaut๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐
Halafu wakenya wanambio balaa.
Malawi, Comorros na Burundi ni mikoa ya Tanzania. Wanaigia Tanzania bure kabisa.
Hii mboba hupost unachagua sehemi moja moja tu ndio unapost hata umabali wa picha ni tofaut๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐
Hasira hizi๐๐๐๐, kenyans live in your head rent free. Utapata tabu sana wewe.Hii ni tandale Nicxie Yosef Festo Coco Master leo nawapitisha nawapa kitu alkasus mujarab๐๐๐๐๐๐
View attachment 1785608
Kweli kabisa. Maana kila kitu wanachukua TZ.Nadhani hamna watu wanaenjoy Bongo kama Wa Comoro.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ nilijua lazima uhare haya fananisha na makuru kayaba sasa tuoneHasira hizi๐๐๐๐, kenyans live in your head rent free. Utapata tabu sana wewe.
๐๐๐๐๐ kumbaf! Waona westie wapi,??Mbona naona na westland au sioni vzr๐๐
Halafu hayo maneno yao nimesikiaje kama sijawatch hiyo 'video'? Na nikajuaje ni vilaza wawili wanaongea?Nenda Uhuru Park kwenye free WIFI. Huwezi kuona maana internet yako ni weak. Hiyo ni HD huwezi ukaona kwenye net ya kukwama kwama.
Angalia picha vzr au unataka kuaibishwa sasa hvi๐๐๐๐๐ kumbaf! Waona westie wapi,??
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ nilijua lazima uhare haya fananisha na makuru kayaba sasa tuone
Siku moja kuna mkunya alimuuzi Tony254 basi tony akamwambia yule Mkunya kwamba Watz hawajui uozo mwingi wa hapa Kenya kwahiyo ukiendelea nitaweka uozo wote hapa, basi nilistuka sn yn kwamba haya madudu yote yanayopostiwa humu kuhusu Kenya kumbe ni cha mtoto
Mwambie akutaftie kwanza kama hii alaf akipata unitag na mm๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐Mzee Hii hapa ni Kariakoo.
Hatupoi kijana.
View attachment 1785613View attachment 1785614View attachment 1785615
Bwana mapesa sasa hvi anatumia id nyingine ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Niabishe basi ๐๐๐Angalia picha vzr au unataka kuaibishwa sasa hvi