ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Ww na mzungu nani aneona zaidi ya mwenzie na nani anajua zaidi ya mwenzie😃😃😃😃Kwani dar hakuna😂😂😂
Ww na mzungu nani aneona zaidi ya mwenzie na nani anajua zaidi ya mwenzie😃😃😃😃Kwani dar hakuna😂😂😂
Ulikuwa unataka tusikie tu hiyo sauti yako ya chura na hasira zako ama? Hiyo video yako haionyeshi chochote. Nasikia tu sauti ya vilaza wawili na neno ushuzi likitemwa kama pilipiliYosef Festo Coco Master Nicxie 🤣👇👇 hii ni tandale leo nimeamua kupita huku kuwaonesha video zangu mwenyewe haya fananishani na ushuzi sasa🤣🤣🤣🤣🤣
Tanzania slum haitakuwepo mpaka dunia inasmama mukasirike mpaka uharo uwatoke😁
View attachment 1785563
Mzee Hii hapa ni Kariakoo.
Hiyo 40 ni percentage bongolala. Hivi, mulinyimwa ubongo hadi na macho pia mkanyimwa?Nyinyi muko million 40😄😄😄 unawazimu wa kichwa wewe
Nenda Uhuru Park kwenye free WIFI. Huwezi kuona maana internet yako ni weak. Hiyo ni HD huwezi ukaona kwenye net ya kukwama kwama.Ulikuwa unataka tusikie tu hiyo sauti yako ya chura na hasira zako ama? Hiyo video yako haionyeshi chochote. Nasikia tu sauti ya vilaza wawili na neno ushuzi likitemwa kama pilipili
Hii mboba hupost unachagua sehemi moja moja tu ndio unapost hata umabali wa picha ni tofaut🤣🤣🤣👇👇👇👇👇
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Halafu wakenya wanambio balaa.
Malawi, Comorros na Burundi ni mikoa ya Tanzania. Wanaigia Tanzania bure kabisa.
Hii mboba hupost unachagua sehemi moja moja tu ndio unapost hata umabali wa picha ni tofaut🤣🤣🤣👇👇👇👇👇
Hasira hizi😂😂😂😂, kenyans live in your head rent free. Utapata tabu sana wewe.Hii ni tandale Nicxie Yosef Festo Coco Master leo nawapitisha nawapa kitu alkasus mujarab😃😃😃😃😃😃
View attachment 1785608
Kweli kabisa. Maana kila kitu wanachukua TZ.Nadhani hamna watu wanaenjoy Bongo kama Wa Comoro[emoji23].
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nilijua lazima uhare haya fananisha na makuru kayaba sasa tuoneHasira hizi😂😂😂😂, kenyans live in your head rent free. Utapata tabu sana wewe.
😂😂😂😂😂 kumbaf! Waona westie wapi,??Mbona naona na westland au sioni vzr😃😃
Halafu hayo maneno yao nimesikiaje kama sijawatch hiyo 'video'? Na nikajuaje ni vilaza wawili wanaongea?Nenda Uhuru Park kwenye free WIFI. Huwezi kuona maana internet yako ni weak. Hiyo ni HD huwezi ukaona kwenye net ya kukwama kwama.
Angalia picha vzr au unataka kuaibishwa sasa hvi😂😂😂😂😂 kumbaf! Waona westie wapi,??
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nilijua lazima uhare haya fananisha na makuru kayaba sasa tuone
Siku moja kuna mkunya alimuuzi Tony254 basi tony akamwambia yule Mkunya kwamba Watz hawajui uozo mwingi wa hapa Kenya kwahiyo ukiendelea nitaweka uozo wote hapa, basi nilistuka sn yn kwamba haya madudu yote yanayopostiwa humu kuhusu Kenya kumbe ni cha mtoto [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwambie akutaftie kwanza kama hii alaf akipata unitag na mm🤣🤣👇👇👇👇Mzee Hii hapa ni Kariakoo.
Hatupoi kijana.
View attachment 1785613View attachment 1785614View attachment 1785615
Bwana mapesa sasa hvi anatumia id nyingine 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Niabishe basi 😂😂😂Angalia picha vzr au unataka kuaibishwa sasa hvi