Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi ni slums kushoto kulia na kiu mpaka statehouse
Nairobi slums kushoto kulia? 😂 😂 😂 😂
Screenshot_20210515-091402~2.png
Screenshot_20210515-100844~2.png
Screenshot_20210515-091423~2.png
Screenshot_20210515-100453~2.png
Screenshot_20210515-101025~2.png
Screenshot_20210515-100611~2.png
Screenshot_20210515-091636~2.png
Screenshot_20210515-100338~2.png
Screenshot_20210515-091459~2.png
Screenshot_20210515-100425~2.png
 
View attachment 1784740View attachment 1784742
Zimbabwe sio size yenu, dont get fooled by the media. I rather compare kenya to zimbabwe than poor tanzania.
Ukifika south africa wamejaa wazimbabwe,wenyewe kule wanajiita wazimdollar,yote sababu ya umaskini nchi kwao ndio maana wengi wanakimbilia south,na wasouth hakuna watu wasiowapenda kama hao wazimdollar maana ni cheap labor wamehodhi ajira nyingi sana,ndivyo wakunya wanataka kuigeuza Tanzania kama wazimdollar kule south,wazimdollar kule kinachowalinda ni SADC,wakunya njaa itawaua,TZ ndio kwanza tunataka kuongeza fees za work permit special kwa kunyaland
 
Ukifika south africa wamejaa wazimbabwe,wenyewe kule wanajiita wazimdollar,yote sababu ya umaskini nchi kwao ndio maana wengi wanakimbilia south,na wasouth hakuna watu wasiowapenda kama hao wazimdollar maana ni cheap labor wamehodhi ajira nyingi sana,ndivyo wakunya wanataka kuigeuza Tanzania kama wazimdollar kule south,wazimdollar kule kinachowalinda ni SADC,wakunya njaa itawaua,TZ ndio kwanza tuanataka kuongeza fees za work permit special kwa kunyaland
Halafu wakenya wamejaa kwenye guest houses za Tanzania, wakifanya kazi za house keeping.

Kwenye bars napo wapo wengi kweli.

Hapa Tanzania wamalawi wenye wanajulikana kwa kazi za ndani na kumwagilia bustani.
 
Yosef Festo Coco Master Nicxie 🤣👇👇 hii ni tandale leo nimeamua kupita huku kuwaonesha video zangu mwenyewe haya fananishani na ushuzi sasa🤣🤣🤣🤣🤣

Tanzania slum haitakuwepo mpaka dunia inasmama mukasirike mpaka uharo uwatoke😁
 
Halafu wakenya wamejaa kwenye guest houses za Tanzania, wakifanya kazi za house keeping.

Kwenye bars napo wapo wengi kweli.

Hapa Tanzania wamalawi wenye wanajulikana kwa kazi za ndani na kumwagilia bustani.
Wamalawi kinachowalinda ni SADC kufanya kazi kwao TZ,ndio maana utosikia mmalawi kapigwa patriation kutoka TZ,jamaa ni ndugu zetu,ngoma ipo kwa wakunya,Mwanangu anasoma shule flan baadhi ya walimu ni wakunya,wazambia n.k hapo Dar,kuna siku nilienda tu kufuatilia maendeleo ya Mtoto,hiyo siku kama zali nikakuta ndio immigration wako doria kukagua vibali vya kazi,wakunya walitoka nduki balaa!!
 
Wamalawi kinachowalinda ni SADC kufanya kazi kwao TZ,ndio maana utosikia mmalawi kapigwa patriation kutoka TZ,jamaa ni ndugu zetu,ngoma ipo kwa wakunya,Mwanangu anasoma shule flan baadhi ya walimu ni wakunya,wazambia n.k hapo Dar,kuna siku nilienda tu kufuatilia maendeleo ya Mtoto,hiyo siku kama zali nikakuta ndio immigration wako doria kukagua vibali vya kazi,wakunya walitoka nduki balaa!!
🤣 🤣 🤣 Halafu wakenya wanambio balaa.
Malawi, Comorros na Burundi ni mikoa ya Tanzania. Wanaigia Tanzania bure kabisa.
 
Ukifika south africa wamejaa wazimbabwe,wenyewe kule wanajiita wazimdollar,yote sababu ya umaskini nchi kwao ndio maana wengi wanakimbilia south,na wasouth hakuna watu wasiowapenda kama hao wazimdollar maana ni cheap labor wamehodhi ajira nyingi sana,ndivyo wakunya wanataka kuigeuza Tanzania kama wazimdollar kule south,wazimdollar kule kinachowalinda ni SADC,wakunya njaa itawaua,TZ ndio kwanza tunataka kuongeza fees za work permit special kwa kunyaland
 
Mzee GDP siyo uchumi.
Ninataka leo nianze kukupatia vitini ujifunze uchumi.
View attachment 1785517
Kwa hivyo uchumi ni economics!? 😂 😂
So in short you are saying that economy and economics are the same things just because they sound the same!

Let me help you bongolala coz it's plain obvious that you are stupid. In a nutshell, economy is the relationship between the production, trade and supply of money in a given region or country while economics is simply the study of economies with special emphasis on developing models for their functions like structure, performance and remedies among others.

There are myriad of adjectives that come from the word economy. Examples include economics, economic and economical. They all have different meanings and usage so please do not confuse them
 
Kwa hivyo uchumi ni economics!? 😂 😂
So in short you are saying that economy and economics are the same things just because they sound the same!

Let me help you bongolala coz it's plain obvious that you are stupid. In a nutshell, economy is the relationship between the production, trade and supply of money in a given region or country while economics is simply the study of economies with special emphasis on developing models for their functions like structure, performance and remedies among others.

There are myriad of adjectives that come from the word economy. Examples include economics, economic and economical. They all have different meanings and usage so please do not confuse them
Umeandika utumbo.
But nitakufundisha Taratibu.
GDP iko wapi hapo!?
Screenshot_20210515-105242.png
Screenshot_20210515-105301.png
 
Nilikuambia ufanye hesabu za haraka ukashindwa. Endelea kujifariji na kujifanya hamnazo

40%x52,000,000 = 20.8 mln
Sasa linganisha na 28 million yenu kisha upate jibu. Usiforce tufane bongolala. We'll never be the same
Nyinyi muko million 40😄😄😄 unawazimu wa kichwa wewe
 
Back
Top Bottom