Kachengcheng
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,551
- 979
Sasa hio ya Zanzibar Ni ufala mngani wa kulinganisha na ya KenyaSema the only floating footbridge in Kenya!
Zanzibar has a floating footbridge at Hotel Verde yatch docking area!
![]()
![]()
![]()
Sasa hio ya Zanzibar Ni ufala mngani wa kulinganisha na ya KenyaSema the only floating footbridge in Kenya!
Zanzibar has a floating footbridge at Hotel Verde yatch docking area!
![]()
![]()
![]()
Nataka kuwatoa wivu kwa kichwa😛sasa kama hatuna lolote,,,hapa unafanya nini...?,,unabishana vip na mtu asiye na chochote haujioni kuwa wewe ni chizi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huo ubaguzi unauleta wewe, we unaenda kula vitu vya kikamba alafu unakuja tusifia hapa ujinga[emoji23]Acheni ubaguzi wa kikabila wakenya,wakamba sio watu?mbona watamu tu
Mataga ni mataga tu[emoji23][emoji23]Context ya kila habari hapo ni tofauti, Magufuli alikua anaongelea ajira za ujumla za direct indirect, private and public sector, wengine ajira za kada tofauti tofauti
You can't judge a book by its cover
Umeanza kuona leo wananchi wakikashifu serekali, basi na wala hutoskia wakiitwa vibaraka wa mabeberu ama wasemwe vibaya na kuitwa sio wazalendo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakiwa twitter hua wanalia mpaka kamasi
Hapo ilikua ngumu kumeza, nimekelewa lkn
We mzee kweli siku hizi umeanza kuwehuka...hyo ni sehemu ya docking fala wala sio bridgeSema the only floating footbridge in Kenya!
Zanzibar has a floating footbridge at Hotel Verde yatch docking area!
![]()
![]()
![]()
A floating yacht bridge way better than ur structure for peasants on dongokundu!Sasa hio ya Zanzibar Ni ufala mngani wa kulinganisha na ya Kenya
Iyo ya Zanzibar Ni Simple docking yard na hio ya Mombasa Ni floating"BRIDGE"Usilinganishe huo Ushuzi na Bridge,ata ka hukusoma usiwe fala namna hio🤣🤣🤣🤣🤣A floating yacht bridge way better than ur structure for peasants on dongokundu!
Floating foot bridge too for yacht PAX!Iyo ya Zanzibar Ni Simple docking yard na hio ya Mombasa Ni floating"BRIDGE"Usilinganishe huo Ushuzi na Bridge,ata ka hukusoma usiwe fala namna hio🤣🤣🤣🤣🤣
No such nje ya Dar😂😂😂😂, watahara humu soon., Kisumu pia works ongoing on flyover between Kondele and Mamboleo interchange., Tz ni Dar pekee😂😂Wacha wivu😛
Dongo kundu Kuna bridge kweli?😂😂😂😂, unajiumbua, kumbe hauijui Mombasa😂😂😂.,A floating yacht bridge way better than ur structure for peasants on dongokundu!
Do mind throwing in a few malls here if you haveMost beautiful mall in Nairobi,, signature mall💯💯💯💯
View attachment 1772679View attachment 1772680View attachment 1772681
No interchange will rival that in Kenya, even that of OLE Sereni after completion of the expressway.Is that four level looks like 🤣🤣🤣🤣 hata three level hakuna hapo
Here are just a few in NairobiDo mind throwing in a few malls here if you have
Kama kitu inamake sense, ina make sense, logic ni logic hata ukahamia planet mars bado ni logic. Usiambukize eliakeem ugonjwa wako wa kukusanya watu kwa makundi ambayo ushaamua yako vipi. Mara zengine sikiza watu kulingana na mawazo yao Kama yana make sense. Kama mtu ameongea kitu kina make sense haijalishi ni mkristo au muislamu, mzungu au maafrika, mtanzania au msomali... As long as hoja yake iko sawa basi jadili hoja usiangalie aloe itoa.Sasa of all the people huyo unaemtaja ndo amekupa huo uelewa ama? seriously? mbona wasijenge kwao huko Lokichar wanasafirisha mafuta ghafi kwa malori? When it comes to minerals and oil and gas a Kenyan should be the last person to advice u! Nadhani ushasahau jinsi walivyokuwa wanapinga ukamatwaji wa makanikia humu ndani na pia wivu wa wazi baada ya makubaliano ya kuanzishwa Twiga minerals corporation na makubaliano yake! Saahii ongezeko la mapato ya mauzo dhahabu ndo yanatunusuru tusikope ovyo maana mapato ya utalii yameshuka!
Fool, kaulize Uhuru revenues za Early Oil Pilot Scheme (EOPS) zimeenda wapI?Kama kitu inamake sense, ina make sense, logic ni logic hata ukahamia planet mars bado ni logic. Usiambukize eliakeem ugonjwa wako wa kukusanya watu kwa makundi ambayo ushaamua yako vipi. Mara zengine sikiza watu kulingana na mawazo yao Kama yana make sense. Kama mtu ameongea kitu kina make sense haijalishi ni mkristo au muislamu, mzungu au maafrika, mtanzania au msomali... As long as hoja yake iko sawa basi jadili hoja usiangalie aloe itoa.
Mbona Kenya na Tanzania tumeweza kuuziana stima bila kelele nyingi? Sio Kila kitu lazima uingize doa na kasoro... Mark my words, hakuna nchi hapa EAC ita make major leap into 1st world country bila kuenda na wenzake, na hata kukitokea exception hio nchi ilio endelea itapata keto sana, itakua inasu,mbuliwa na hizo nchi jirani zilizo bado maskini... Haijalishi mkawa na gold ngapi au maligafi kiasi thank, cooperation ya majirani ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi.
Wacha nikupe mfano wa Kenya, maeneo ya Kenya ambayo hayajaendelea kabisa ni kaskazini kuelekea Ethiopia na S.Sudan na mashariki kuelekea Somalia .... Ukichunguza hizo nchi jirani hua hatuna cooperation zozote za kiuchumi nazo.
Sass unaona mwenye chuki ni nani? Mi nakuongelesha kiungwana we umejikweza mjanja si wengine wajinga.Fool, kaulize Uhuru revenues za Early Oil Pilot Scheme (EOPS) zimeenda wapI?