Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,905
- 9,730
Chungulia dirishani kwako uone vile slum dar zimejaa😬😬 mzungu akikuambia uchore saba utachora🍆🍑Siku utapata slum nitag ili nijue leo mzungu hana akili kuliko wewe🤣🤣🤣🤣
Chungulia dirishani kwako uone vile slum dar zimejaa😬😬 mzungu akikuambia uchore saba utachora🍆🍑Siku utapata slum nitag ili nijue leo mzungu hana akili kuliko wewe🤣🤣🤣🤣
Haiitwi msalaba kwani😂😂😂😂😂Hio inaitwa three level ukipata kenya nzima nitag nifunge acc sasa hvi 🤣🤣🤣🤣
hizo tembo zinaonekana zilisumbua kweli hiyo siku[emoji1787][emoji1787]Arusha in 1940s
It got London taste by then more than 1970s Nairobi, so Nyerere came from the very developed 'London' way back.
So you can Imagine if this was Arusha by then how was Dar?
View attachment 1769237View attachment 1769238View attachment 1769239View attachment 1769241View attachment 1769242View attachment 1769243
Kwani yeye yesu alikuambia yuarudi lini 🚶🚶💨Kwamba umeumia au nikuongeze, hii kitu inaitwa 3level hamtawahi pata mpk Yesu anarud[emoji116][emoji116]View attachment 1769301
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu kuna hii issue ya demand kwenye real estate. Nadhani demand iko very low dar kuvutia FDI au hata private investment kwenye hii sectorKwa Kiasi Fulani nakubaliana na wewe hapa. Sekta binafsi Tanzania sio kubwa kama Kenya. Na hata hivyo skyscrapers nyingi Dar zilikuwa proposed wakati wa Kikwete. Ila ni kweli kuwa miradi ya serikali ya real estate imepata ajali. Angalieni hata ile 5 star hotel ya Mwanza inayojengwa na NSSF! Jengo mpaka leo halijaisha!
If the pain last longer you can hug a transfomer[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Msalaba [emoji547][emoji547][emoji547]
Hicho ndicho kipindi pia mifuko ya hifadhi ya jamii ilijenga na kuimarisha misingi ya udhaifu wake. Mashirika ya umma kuwekeza sehemu kubwa ya mitaji yake kwenye real estate kwa nchi ambayo ina sekta changa ya viwanda ilikuwa zaidi ya utaahira.Towers karibia zote Kenya zinajengwa na private sector, wakati wa boom ya majengo marefu Tanzania kipindi cha Kikwete mingi ilikua miradi ya NSSF na NHC.
I don't see something unique in this view.A view like this can't be found anywhere in Tanzania.
View attachment 1769332
You can't see cause you don't have them in Tz.I don't see something unique in this view.
Hoja kwisha huyu, woman down😂😂If the pain last longer you can hug a transfomer[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mzee unaniita kobe. Umenikosea heshima.Kwa Kiasi Fulani nakubaliana na wewe hapa. Sekta binafsi Tanzania sio kubwa kama Kenya. Na hata hivyo skyscrapers nyingi Dar zilikuwa proposed wakati wa Kikwete. Ila ni kweli kuwa miradi ya serikali ya real estate imepata ajali. Angalieni hata ile 5 star hotel ya Mwanza inayojengwa na NSSF! Jengo mpaka leo halijaisha!
Mmechelewa sana.TUMESHA HAMA KWENYE MAGOGO, KENYA MNASIKIA??[emoji38][emoji38][emoji38]View attachment 1769337View attachment 1769338
Kuishi Masaki haina maana utajua kila jengo. Hilo jengo linaitwa The Residency luxury apartments lipo Mwaya road Masaki.hii masaki sehem gan? mim naishi huko
nadhan itakuwa bagamoyo/kigamboni
Manaake haijulikani.Kwani yeye yesu alikuambia yuarudi lini [emoji124][emoji124][emoji100]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we binti wa ushago....endelea kulialiaHoja kwisha huyu, woman down[emoji23][emoji23]
Kuna nn hapa mkuu.[emoji2732][emoji174]Magufuli [emoji174][emoji2732]